INAUZWA Medical laboratory/ maabara ya afya

INAUZWA Medical laboratory/ maabara ya afya

mussa m roman

Member
Joined
Jul 17, 2017
Posts
22
Reaction score
5
Habari'

KWA WAWEKEZAJI, MAABARA YA AFYA/ MEDICAL LABORATORY
Inauzwa.

Imekamilika kila kitu.
Umeme wa Tanesco na
sola poa ipo

Haina shida yoyote.

Mil.7 kwa mil. 11.5
Tayari ina kodi ya Miaka 6.

Location Dar es Salaam .

Saku-Chamazi (Mbagala)

Kwa mwenye uhitaji.. Karibu.

Contacts:
0621451621
0652005254


20230220_080033.jpg
 
Afu mbna umepiga picha kona ya maabara tu mkuu?
 
Ikiwa na vifaa vyake vyote... Kwa maana kila kitu ulichokiona hapo na utavyovikuta ni m11 we ukinunua ni kuanza kazi tu.

Kama una vifaa vyako bei ni mil 7.
Maana yake kuna vitu vitapungua
 
Back
Top Bottom