Kang kama aliyosema Yeshua
Windows7 phone performance yake kwenye mobile sio nzuri. Its far much better symbian . Hata ukisoma reviews mbali mabli za windows 7. . kama ni kweli Nokia wanai damp Symbiana watakuwa wanafanya kosa kubwa. Symbiana ndio Icon ya Nokia sasa wanazidi kwenda kushoto.
- Wanasema Some model touch screen ya window 7 iko sticky na nzito. Hii hata mm nina experince
- Na wanasema OS wa window 7 haikuwa desinged kwa ajili ya mobile hiyo WP7 wamelazmisha tu sababu ya ndio teknolojia inapoelekea so wakaamua fasta kuleta kitu cha mobile.
- The same hata simu zenye windows mobile ni nzito sana. Nimetumia simu kila baada ya muda mchache ilikuwa inabidi nifanye soft restart
Hope Nokia wataendelea na symbiankwa muda tu. Hawawez ikuingia mkenge wa kudump OS ambayo wana 100% control nayo waende kwenye OS ya third party amabyo hawana exclusive right