Meet the African genius from East Africa

Sasa watu kama hawa ndyo wanatakiwa kusoma mechanical engeneering
 
Naomba kwa Mwenye Enzi Mungu serikali imwangalie huyu kijana anakipaji kikuu sana!
 
So interesting! Watu na vipaji vyao
 
Da, this guy is an Asset, serious if invest in him, in ten years time tunakuwa na Caterpillar machinery made in Tanzania. watabana bana na engineering and certifications approval lakin eventually watakubali. its all starts with a dream and vision
 
Hongera kwa dogo, ndio basi mumsaidie sio kumuacha anasota kitaa.
 
Dogo amenikumbusha historia ya tajiri wa JCB yaani hili jina limekuwa maarufu mpaka limeingizwa kwenye Oxford English dictionary.
Jamaa alinunua welding kwa £1 miaka 70 iliyopita na kutengeneza trailer yake ya kwanza (first vehicle)
Hapo alikodi sehemu kama garage ndogo sana na kuanza shughuli zake.
1948 ndio alianza ubunifu na kuiuza kwa £45 baada ya kuunga unga vyuma.
Leo kampuni ina wafanyakazi 11,000 duniani
Ni watengenezaji wa tractors na excavators

Namuombea apate mfadhili ila hata yeye akitengeneneza makwama tu kwa ubunifu wake atafika mbali sio lazima kuanza na mashine hizo zitakuja baadae.
 
Magufuli hivi ndo viwanda sio kila kukicha unapiga porojo na kina mama waliotelekezwa deal na watu kama huyu dogo ataleta manufaa kwa nchi kuliko kuangahika na hao wadada wa mjini waliotelekezwa naahawara zao
 
Huyu kweli hata ukimwangalia usoni ana akili ila nashauri wala asiende kosomea bali apewe karakana kubwa na mtaji mkubwa kwa kila anachotaka kufanya aweze sasa ukimwambia aende Veta wakati mwalimu wa veta mwenyewe hajawahi kugundua chochote atamfundisha nini?
 
Huyu ni genius. Hapa mlipoteza talanta jamani. Afrika tunapenda kupoteza talanta sana. Sasa huyu dogo hata hajasoma vizuri na anafanya vitu kama hivi, sasa kama angesoma hadi degree ya engineering basi dunia ingemtambua
System ya elimu Ina maajabu yake unaweza kuta angefeli advance/chuo.

Watu kama hawa wizara ya sayansi inatakiwa kuwapa kipaumbele. Ubaya anaweza kutana na vikwazo kama yule wa helicopter
 
Changamoto la wagunduzi wengi wa kitaa wenye kipaji ukimwambia aende shule siku mbili anakimbia maana huko anaenda kukaribishwa na hawa wajomba
Mambo ya vector calculus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…