Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Rudisha avatar ya mwanzo bana. Ile ishakuwa brand yako mkuu.Mbona sijaona rappers wetu wakibongo kwenye hiyo list, kulikoni?
Kweli America is the land of opportunities and success. Where else on earth could this be possible? Only in the US of A.
Kweli America is the land of opportunities and success. Where else on earth could this be possible? Only in the US of A.[/QUOT]
Hivi kumbe aee
NN umesahau pia Tanzania is also a land of opportunity kina Jay-Z sijui Pdidy ni chamtoto tu kuna pedeshee ana $2 Billion katika account yake zimekaa tu bado majumba anayomiliki, biashara na mshahara wake ofisini. Therefore sio US tu bali hata Tanzania unaweza kuzaliwa maskini ukajitahidi na kuwashinda hata walioko US (kwa njia yeyote ile including ufisadi ndio bongo hiyo).
hii mpya
asante
RICH RAPPER: Jay-Z has topped the Forbes list
of richest rappers with an income of US$37 million in the past year
1. Jay-Z: $37 million
2. Diddy: $35 million
3. Kanye West: $16 million
4. Lil Wayne: $15 million
5. Bryan "Birdman" Williams: $15 million
6. Eminem: $14 million
7. Snoop Dogg: $14 million
8. Dr. Dre: $14 million
9. Akon: $13 million
10. Ludacris: $12 million
11. Wiz Khalifa: $11 million
12. Drake: $11 million
13: Pharrell Williams: $10 million
14. Timbaland: $7 million
15. Swizz Beatz: $6.5 million
16. Nicki Minaj: $6.5 million
17. Rick Ross: $6 million
18. 50 Cent: $6 million
19. Pitbull: $6 million
20. T-Pain: $5 million
20. B.o.B: $5 million