Auambie ni kiasi gani cha pesa za walipa kodi kinatumika per day kule COMORO
maana African Union hawajatoa hata senti tano kwa ajili ya ile operesheni
Dont hold your breath, there's nothing "new" about JK and this government. Just the same old bunch of chancers and yes-men, albeit with a different 'crook' at the helm.
You can wrap a bag of rubbish up in ribbon and sprinkle it with glitter, but it's still a bag of rubbish!
Serikali haina ajenda yoyote sasa hivi zaidi ya UFISADI LEFT AND RIGHT...ile ilani yao ya uchaguzi wameitupa kapuni na wameamua kuwasahau kuwaendeleza wananchi kule vijijini
In short naweza kusema kuwa JK looks distinctly uncomfortable in his new role as Prime Minister. I have very serious reservations about his suitability for the job.Na kadri siku zinavyozidi kwenda anaonyesha jinsi gani alivyo kuwa OUT OF TOUCH na REALITY ZINAZOWAKUMBA WA tanzania ambao hawajui the point ya kuwa na serikali ambayo mawaziri wake wana account za PAUNDI MILIONI 15 huko JERSEY