Mei Mosi imepita na ile report ya CAG imezibiwa masikio na karibu itafungiwa na kufuli. Hii ni Jamhuri yetu ya Umofia

Nadhani haya mambo yanapangwa makusudi kabisa, kuanzia wiki ijaya mjadala utahama mpaka uteuzi wa MaDC na MaRC..
 
Nchi yetu ni nzuri sana, kelele zinapigwa kwa siku kadhaa then kila kitu kinaendelea kama kawa

Mwendazake alitumia nguvu kubwa kuzuia report ya CAG wakati haina athari zaidi ya kuongelewa mitandaoni tu kama ngonjera

Jk alikuwa na msemo wake '… ni Upepo tu…utapita…'

Hata Mwakani itatoka itaukanyaga sana Utawala wa Mama lakin mambo yataendelea

Kakoko wa Bandari yupo Mtaani anakula Bia kama kawa
 
hii nchi ina wenyewe..
kesi ya nyani huwez kupeleka kwa ndegere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…