Kwetuntwara
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 227
- 151
Watu/wafanyakazi walitegemea makubwa sana baada ya rais kubadilika ila ukweli yeyote angekuwa rais kwa mda huu asingeweza kuongeza mishahara. Fedha nyingi sana inaenda kwenye miradi ya maendeleo, pia kuongeza mishahara kunahitaji mipango ya at least mwaka ili kupanga bajeti endelevu.Mtangulizi wake hakuwa na huo mpango ΔΊwa sababu ambazo alizielewa yeye binafsi zaidi.Uzi hautembei tena [emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna mmoja wao alikuwa akipendekeza mradi wa Busisi usitishwe.
Katika hali ya kawaida kabisa, mwanaume hawezi kudungwa mimba....Hiyo mimba uliyodungwa chato itakutoa roho
Lake Zone ndo kuna kuraDaraja la Busisi, reli ya Isaka na uwanja wa ndege miradi yoye hii lazima ikamilishwe.
Najua wengi mlikuwa na matumaini makubwa kuwa mshahara ungeongezwa. Hata hivyo haijawa hivyo, ila nawatia moyo kuwa endeleleeni kuvuna subra. Njia mlotumia kwa miaka sita ilopita endeleleeni kuiboresha... Mwakani sio mbali tuombe uzima... MAUMIVU YANAENDELEA..
Nitawashangaa wafanyakazi Kama wataenda kujianika uanjani mwakani maana hawakomi, miaka sita maneno yaleyale ,na mda wote mwaenda njianika uwanjani achaneni na Mambo hayo , Iyo siku Kama hamna Cha kufanya nyumbani Basi lala hasa nyie walim hivi pamoja na kutunga nyimbo kila mwaka huwa hamkomi,Najua wengi mlikuwa na matumaini makubwa kuwa mshahara ungeongezwa. Hata hivyo haijawa hivyo, ila nawatia moyo kuwa endeleleeni kuvuna subra. Njia mlotumia kwa miaka sita ilopita endeleleeni kuiboresha... Mwakani sio mbali tuombe uzima... MAUMIVU YANAENDELEA..
maswali ya kitotoSwali fikirishi...
Hivi Bi Mkubwa nae bado anapokea mshahara wa Makamu Raisi?
Au ameshapanda daraja na kuzoa mshahara na marupurupu ya mtagulizi wake???
Au hadi mwakani ndio atapandishiwa na watumishi wote?
depends unazungumzia kizazi kipi.His legacy will remain vibrant for ever
ngorongoro si national park. ni conservation area.Inaonekana Ngorongoro National Park ni taasisi nyeti sana hapa nchini?
inategemea serikal iliingia makubaliano gani na benki.Kwa nini benki ya NMB ilipewa dhamana ya kupitishia mishara ya watumishi halafu bado Benki hiyo haiwakomboi wafanyakazi?
bado Riba kubwa, hakuna mikopo ya biashara wala mikopo ya kunua gari kama ilivyo kwa wabunge amabo wanakopeshwa zaidi ya milioni 80?!
kweli lengo ni kuwafanya watumishi wa chini waishi kimasikini