Mei Mosi ndo hiyooo! TUCTA Mjipange vizuri juu ya ongezeko la mishahara

Kayabwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2012
Posts
385
Reaction score
86
Naomba TUCTA Mjipange vizuri juu ya ongezeka la mishahara Kwa wafanyakazi mwaka huu. Mnakumbuka Mama alitangaza jambo letu kwa mbwembwe tukapigea na kitu kizito.

Tusije lia tena jamani. Hatutaweelewa.
 
Nataka nione walimu watakuja namna gani au watasema nini kwa hizi sherehe za Mei Mosi.

Kama watashindwa kujitetea tena, basi nitaapa kuwasema vbya maisha yangu yote.

Nasema walimu mana wao ndo kundi kubwa la wafanyakazi.
 
Nataka nione walimu watakuja namna gani au watasema nini kwa hizi sherehe za Mei Mosi.

Kama watashindwa kujitetea tena, basi nitaapa kuwasema vbya maisha yangu yote.

Nasema walimu mana wao ndo kundi kubwa la wafanyakazi.
Haa kama kawaida yao leo
 
Mtakufa na stress kuwaza vitu ambavyo havipo, pambaneni na hali zenu yaani mihela yooote iliyopigwa mpaka wameitwa stupid unategemea mtapewa chochote? Sahau hiyo kitu.
 
mtakufa na stress kuwaza vitu ambavyo havipo, pambaneni na hali zenu yaani mihela yooote iliyopigwa mpaka wameitwa stupid unategemea mtapewa chochote? Sahau hiyo kitu.
Expectations zinaleta stress sana.....
 
NATAKA NIONE WALIMU WATAKUJA NAMNA GANI AU WATASEMA NINI KWA HIZI SHEREHE ZA MEI MOSI

KAMA WATASHINDWA KUJITETEA TENA, BASI NITAAPA KUWASEMA VBYA MAISHA YANGU YOTE

nasema walimu mana wao ndo kundi kubwa la wafanyakazi
Wanakuhusi Nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…