MEI MOSI: Unatoka home kwenda kusikiliza ahadi ya kuondolewa kikokotoo na nyongeza ya mishahara, badala yake unakutatana na Wadudu!

MEI MOSI: Unatoka home kwenda kusikiliza ahadi ya kuondolewa kikokotoo na nyongeza ya mishahara, badala yake unakutatana na Wadudu!

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822
IMG-20240506-WA0014.jpg

Wafanyakazi wa sekta ya umma Tanzania, mnapoambiwa kuwa CCM ni sumu hatari inayoua taratibu, muwe mnaelewaga na kisha mchukue hatua..

Sasa ona hapa...

Mmeenda Arusha na matumaini kibao ya kusikia "nani kama mama" anatoa kauli kuondoa kikokotoo kandamizi cha mafao ya kustaafu kwenu na ahadi njema ya nyongeza ya mishahara badala yake mmeenda na kukutana na WADUDU walioandaliwa kwa ajili yenu kuwang'ata.

Sasa kaeni tayari maana wanaanza kuwang'ata mmoja baada ya mwingine mpaka muombe - poo..

WADUDU OYEEEEE...🤣🤣🤣🙇🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻
 
Wadudu waheshimiwe
Arachuga 6:23
 
waache chama kiwatafune maana wana viherehere mfano walimu kwenye mkutano wao mwaka jana wakachanga fedha za sir 100 kuchukua fomu inamaana wanafurahia yanayoendelea mpka wanaunga mkono juhudi acha watafunwe....

imagine baba wa mtu hapo kawekwa juani hana maji wala msosi alafu anawasikiliza wadudu 😂😂😂😂😂

huo muda angetumia kuanzisha genge la mboga na matunda leo angekua mbali na asingelazimishwa kwenda kupigwa na jua na kusubiri ahadi za mchongo....


fikiri tamisemi wana bajeti ya kununua magari mapya ya viongozi lakini watumishi wa chini kabisa wanapigiwa plan ya kukatwa pesa zao kwa dhuluma 😂😂😂😂

kekundu kekundu..... wajinga ndio waliwao
 
Ila CCM ni noma sana aisee...

They don't care...

They never cared before...

And they will never care about regular citizens..

Rather, they think and care about themselves alone, their children & families as well as those who bow down to worship them..!!
 
Viongozi hawana huruma na wananchi wao.
 
waache chama kiwatafune maana wana viherehere mfano walimu kwenye mkutano wao mwaka jana wakachanga fedha za sir 100 kuchukua fomu inamaana wanafurahia yanayoendelea mpka wanaunga mkono juhudi acha watafunwe....

imagine baba wa mtu hapo kawekwa juani hana maji wala msosi alafu anawasikiliza wadudu 😂😂😂😂😂

huo muda angetumia kuanzisha genge la mboga na matunda leo angekua mbali na asingelazimishwa kwenda kupigwa na jua na kusubiri ahadi za mchongo....


fikiri tamisemi wana bajeti ya kununua magari mapya ya viongozi lakini watumishi wa chini kabisa wanapigiwa plan ya kukatwa pesa zao kwa dhuluma 😂😂😂😂

kekundu kekundu..... wajinga ndio waliwao
Hivi mnawachukia sana walimu?

Maana kosa la watu wachache basi kila siku wanalaumiwa walimu wote


Halafu kila siku mnaambiwa, wale ni wafia chama wa CCM na propaganda ile inatengenezwa from the top ili ionekane watu wanakubali chama na mwenyekiti


Unakuta hela za kuchangia wamepewa na wao wanapata zao



Halafu hata ingekuwa kweli, Raisi amechangiwa zaidi ya mara 3 na kada tofauti

Maana yake propaganda ni kubwa na watu Wana maslahi nayo
 
Hivi mnawachukia sana walimu?

Maana kosa la watu wachache basi kila siku wanalaumiwa walimu wote


Halafu kila siku mnaambiwa, wale ni wafia chama wa CCM na propaganda ile inatengenezwa from the top ili ionekane watu wanakubali chama na mwenyekiti


Unakuta hela za kuchangia wamepewa na wao wanapata zao



Halafu hata ingekuwa kweli, Raisi amechangiwa zaidi ya mara 3 na kada tofauti

Maana yake propaganda ni kubwa na watu Wana maslahi nayo
sina chuki mkuu nimetolea mfano tu mbona kada kibao wanalazimishwa mambo ya ajabu kuvaa nguo zenye picha ya raisi kuimbishwa mapambio nisamehe sana kwa kutolea mfano waalimu ila kada nyingi ni machawa wakiamini kuna mema yanakuja kumbe urojo mtupu
 
View attachment 2982897
Wafanyakazi wa sekta ya umma Tanzania, mnapoambiwa kuwa CCM ni sumu hatari inayoua taratibu, muwe mnaelewaga na kisha mchukue hatua..

Sasa ona hapa...

Mmeenda Arusha na matumaini kibao ya kusikia "nani kama mama" anatoa kauli kuondoa kikokotoo kandamizi cha mafao ya kustaafu kwenu na ahadi njema ya nyongeza ya mishahara badala yake mmeenda na kukutana na WADUDU walioandaliwa kwa ajili yenu kuwang'ata.

Sasa kaeni tayari maana wanaanza kuwang'ata mmoja baada ya mwingine mpaka muombe - poo..

WADUDU OYEEEEE...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1334][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321]
Nchi ina Wajinga lukuki
 
Back
Top Bottom