Elections 2010 Meja Jenerali Kitundu awaweka sawa wanajeshi - Msishabikie chama, pigeni kura kiraia

mimi sioni mgawanyiko wowote ktk jeshi letu!! Ila mashabiki wa chadema ndio wanahamu jeshi ligawanyike wakidhani wao chadema watafaidika na mgawanyiko huo!!! Sasa chadema mumepiga mahesabu vibaya kwani kwa hakika jeshi letu lina nidhamu ya hali ya juu na mgawanyo wa madaraka unafanyika kwa mujibu wa sheria na hapa kauli ya mkuu wa jkt sioni kama inagongana na ya mnadhimu mkuu wa jeshi (shimbo) kwani yeye shimbo aliongelea hali ya usalama wakati wa uchaguzi na huyu wa jkt amewaasa wanajeshi kutoshabikia chama wakati wakiwa wako kazini kijeshi!!

sasa huo mgawanyiko munao utafuta utokee ktk jeshi letu sijui mumeuonea wapi?
chadema wacheni uchimvi na kuwachonganisha maafisa wa jeshi letu! Huu sio ustaarabu wala si uzalendo kuwa na hamu jeshi letu lipatwe na msukusuko kwa faida zenu za kisiasa!!! Yaani munadhani jeshi likigawanyika ndio slaa atakuwa rais!! Munajidanganya!!!
 

Wengi wanafahamu kuwa huo ndio mwenendo wa jeshi tangu mfumo wa vyama vingi vianze. Kwa hiyo huo waraka wa CDF ni kusisitiza utamaduni ambao tayari upo, and it is smart thing to do pamoja na kuwa it is nothing new. Na Makamanda wenye akili wanajua hilo. Na asakri wapiganaji ikiwa ni pamoja na wale wa vyeo vya chini wanajua kuwa order hawapokei kutoka kwenye media, kuna proper channels za kupokea orders.

Lakini swali ni kuwa, Jeshi litamfanya nini Shimbo? ataachwa hivi hivi tu pamoja na utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu? amachafua sana sura ya jeshi na kupunguza imani ya wananchi kuhusu Jeshi. Watu wameanza kuwa na hofu kuwa huenda si Jeshi la wanachi bali ni Jeshi la Chama.
 
Nieleweke vizuri ndugu yangu,Hili siyo jambo la kisiasa,kutoa mfano wa uongozi wa kisiasa tena kwa muundo wa Muungano wa TZ,ni kujishusha hadhi Mkuu..

Kujishusha hadhi kivipi?? bado narudia kuwa Shimba hana backup wakati Kitundu anayo!
[/COLOR]
research..No right to speak.

Mkuu kwani hii inahitaji research ya aina gani ya rocket au sterm cell?, hivi unawakumbuka akina Doe, akina Sankara et al??

.

Achana na hiyo habari ya nani anaripoti kwa nani, wale wanaokomand vikosi (Ma-brigedia, ma-Major Generals) ndie wenye nguvu sio wale wanaokaa pale UPNG especially mtu kama chief-of-staff!. Mkuu wa jeshi la anga ama jeshi la nchi kavu akikasirika ni dakika chache tu anaweza kwenda kum-roundup huyo Shimba pale UPNG! hawa sio watu wakudharauliwa hata kidogo ni wazee wa kazi!


Hivi unadhani sijui mpangilio wa GESHI letu??? mpangilio wa uongozi ninaufahamu kabla hata hiyo Wikipedia yako haijawa mtandaoni; Toka enzi za wanageshi wazalendo wa kweli wasiopenda kuchanganya mambo ya ajabu-ajabu: The great Sarakikyas, the Twalipos, Marwas, Msuguris, Kiaros, akina Black Mamba, the Kiwelus, the great Mayungas....

Tena kwa taarifa yako hicho kiti cha Chief- of- Staff katika Geshi letu kilikuwa kinakaliwa na ma-Brigedia generals na Major generals hawa hawa unaowadharau!. Tuna bahati tu ma-Brigedia general na ma-Major generals wetu ni watu wastaarabu, kwenye nchi nyingine kauli kama hizo za akina Shimba huwa zinachukuliwa kama opportunity ya kuanzisha masoo mengine:hand:

 

Utaelewa siku nyingine!
 
Hii hainishangazi lakini inanirudisha nyuma sana. Wananchi wanapata shida; hakuna maji sehemu nyingi, hakuna chakula sehemu nyingi za nchi, uchumi umekuwa mbaya sikuzote, wanajeshi wengi wa renk za chini wana ndugu wana kufa muda huu naandika huko Muhimbili, wanafunzi wengi wanaotoka familia maskini hawawezi kwenda tena shule, ujambazi na mengineo mengi hatuwezi kuyaeleza leo. Wananchi watapata mwamko gani ili waweze kubadili viongozi nchini kwetu? Umaskini sio wa ulazima Tanzania na ninaomba sana kila Mtanzania ahimizwe Upigaji wa Kura. Uchaguzi ni moja wapo ya nafasi maalumu ya kubadili viongozi na sera ili nchi iende njia nyingine. Chama kinachoshinda ndicho kinauwezo mkubwa wa kutafuta soluhisho la matatizo ya nchi. NI MUHIMU KUPIGA KURA NA TUSIOGOPE JESHI AU KIONGOZI YEYOTE WA CCM. Kama kuna mtu yeyote anafikiri ni rahisi kuondoa viongozi kama Lowasa ni kitu rahisi. Upigaji kura mwingi ndio solution nyumbani. Amini Usiamini kuna viongozi serikalini, jeshini, na hata usalama wa taifa wanataka mabadiliko lakini hawawezi kusema hadharani. Tukipiga kura kwa wingi na CCM ikaiba WATAFANYA KILA NJIA KUITETEA NCHI YAO.
 

Is it?..............duh.............Aisee!
 

Lieutenant General ni mkubwa kuliko Major General, hivyo Shimbo ni mkubwa kuliko Kitundu.
 

Kwenye red hapo juu, hivi kweli hiki cheo kiko JWTZ? Waandishi wetu sio makini sana!
 
BRAVO Kitundu, hawa ndio wanajeshi wanayoitakia mema nchi hii. Kauli yake ni nzito na inaonyesha nidhamu ya jeshi, na kwamba wapo tayari kulinda usalam wa watanzania chini ya Rais yeyote ajaje. BIG UP Kitundu!
 

Mkuu ulilose3ma ni kweli. Kuwa kwenye system haina maana kwamba wote ni wabovu kama hao viongozi wa juu wa cccm.
Wapo viongozi wengi sana ktk majeshi yetu (yote) na pia ktk usalama wa Taifa ambao ni wazalendo ... isipokuwa kwa taratibu za kazi zao hawawezi kuongea out of turn maana hawana mamlaka ya kusemea vyombo vyao. Lakini nina imani ikifikia hatua ya watu kutaka kuiingiza nchi ktk vurugu za kisiasa watatumia nafasi zao pale walipo kuinusuru nchi yao.
 
UYumzee ana busara as amesoma alama za nyakati akaona asije temwa na Slaa.
Slaa unaweza mkumbuka kwenye ufalme wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…