Meli 3 zinazohudumu katika ziwa Nyasa zimeharibika, RC Homera achachamaa awataka TPA na Wizara waseme ukweli nini kinaendelea!

Meli 3 zinazohudumu katika ziwa Nyasa zimeharibika, RC Homera achachamaa awataka TPA na Wizara waseme ukweli nini kinaendelea!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Meli zote tatu zinazotoa Huduma katika ziwa Nyasa zimeharibika na meneja wa TPA amesema matengenezo yanasubiri kwanza tathmini kutoka Shirika la Bima la taifa (NIC)

Naye Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Homera ameitaka TPA makao makuu pamoja na Wizara ya uchukuzi kueleza ukweli tatizo la meli hizo ni nini badala ya kuwataabisha wananchi walioaminishwa kwamba tatizo la meli ziwa Nyasa sasa ni historia.

Chanzo: ITV habari

Mungu wa mbinguni atusaidie Kilombero mpunga unaliwa na viwavijeshi.
 
Hizo meli zilikaa ziwani hata miezi 4 zikapaki na hapo zina mwaka 😄😄.

Songoro marine na Serikali ya wanyonge ndio inahusika.
Spidi ya ujenzi wa meli hizo ilishangaza wataalam waliobobea katika fani hiyo. Huwezi kutoa amri kwa watu walio na ujuzi wa kazi fulani kuimaliza kazi hiyo kwa muda mfupi kama unavyotaka wewe.

Tuheshimu kazi za wenzetu vinginevyo mambo yakiharibika basi wa kulaumiwa ni wale wale wanaotoa amri za kiajabu ajabu tu. Tusubiri na haya majengo yanayojengwa kwa spidi ya umeme. Time will tell.
 
Spidi ya ujenzi wa meli hizo ilishangaza wataalam waliobobea katika fani hiyo. Huwezi kutoa amri kwa watu walio na ujuzi wa kazi fulani kuimaliza kazi hiyo kwa muda mfupi kama unavyotaka wewe. Tuheshimu kazi za wenzetu vinginevyo mambo yakiharibika basi wa kulaumiwa ni wale wale wanaotoa amri za kiajabu ajabu tu. Tusubiri na haya majengo yanayojengwa kwa spidi ya umeme. Time will tell.
Tufuatilie na maeneo mengine huenda Nako zimepaki ila watu wame mute.
 
Spidi ya ujenzi wa meli hizo ilishangaza wataalam waliobobea katika fani hiyo. Huwezi kutoa amri kwa watu walio na ujuzi wa kazi fulani kuimaliza kazi hiyo kwa muda mfupi kama unavyotaka wewe. Tuheshimu kazi za wenzetu vinginevyo mambo yakiharibika basi wa kulaumiwa ni wale wale wanaotoa amri za kiajabu ajabu tu. Tusubiri na haya majengo yanayojengwa kwa spidi ya umeme. Time will tell.
Kwai umeambiwa tatizo ni nini au wewebuna mawazo yako tu?
 
Mama samia ni kibogoyo (Hana uwezo wa kung’ata) kama mtangulizi wake kesharuhusu kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Mtangulizi wake alifanya nini. Hizo meli toka zimekamilika ni matatizo tu, hasa hiyo namba 3 ilikuwa haifanyi kazi kwa miezi 9, juzi imetengenezwa imekwenda safari moja tu, imepasua engine block mala zitake kuzama ziwani, na jiwe ndio alimpa tenda kampuni ya Songolo marine, pale waziri/rais aunde tume tu watabaini mengi yaliyojificha!!leo meneja anasema eti NIC, ndio wanasubiliwa kuja kufanya tathimini ya uharibifu.
 
Mtangulizi wake alifanya nini, ?hizo meli toka zimekamilika ni matatizo tu, hasa hiyo namba 3!!!ilikuwa haifanyi kazi kwa miezi 9, juzi imetengenezwa imekwenda safari moja tu, imepasua engine block!!!mala zitake kuzama ziwani, na jiwe ndio alimpa tenda kampuni ya Songolo marine,.pale waziri/rais aunde tume tu watabaini mengi yaliyojificha!!leo meneja anasema eti NIC, ndio wanasubiliwa kuja kufanya tathimini ya uharibifu.
Songoro ni kampuni binafsi ya mwendazake
 
Back
Top Bottom