Mwalimu Hema
Member
- Dec 5, 2015
- 88
- 67
Bando mzozoIngia youtube kuna video kibao how they made ship utaona kuanzia mwanzo mpaka inapowekwa baharini.
Au aende Songoro marine Mwz aone wanavyotengeneza na kuzishusha majini. Japo kiwanda chao ni kidogoIngia youtube kuna video kibao how they made ship utaona kuanzia mwanzo mpaka inapowekwa baharini.
Wa mazuzumagicUmesema wewe ni mwalimu?
Ok
hahahaaaWa mazuzumagic
wa chekechea wa kujitoleaUmesema wewe ni mwalimu?
Ok
name nimi nataka kujua kuhusiana na ndegeNajiuliza kila siku kiwanda cha meli kikoje? Kiko karibu na bahari au vipi? Na kama sio? Meli huwa inapelekwaje baharini kuanza majukumu ndugu zangu, maana nimejiuliza muda mrefu nakosa majibu.
Naomba msaada wenu wadau.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda huwa inatengenezwa ardhini halafu inabebwa na helicopter
Huwa wanatumia winchi katika kuivuta,Meli huwezi kuivuta kwa mikonoMeli inajengewa ufukweni mwa maji hafu ikikamilika wanaitwa watu wenye nguvu wanaisukumiza majini