Meli kubwa 🛳 Africa Mashariki na kati 🌍 only in 🇹🇿

Meli kubwa 🛳 Africa Mashariki na kati 🌍 only in 🇹🇿

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
RAIS MAGUFULI KUSHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA UJENZI WA MELI NA KUANZA RASMI KWA UJENZI WA MELI KUBWA KATIKA NCHI ZA MAZIWA MAKUU

PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MELI MWANZA

Mkandarasi ni South Korea

DmJergIVsAAUdwk.jpg
 
Hongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.
 
Hongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.


















wapinzani pamoja na washirika wao kutoka +254 watapinga na kubeza humu wataseam sio kipaumbele cha nchi hii .....



WATAPATA TABU SANA.
 
Uzinduzi right left and centre...tushawazoea.
 
Unazindua ujenzi wa meli wakati umewaibia Watanzania 1.5Tril maana yake nini..?!
Bado kuna kashfa hizi kontena 20 za Makonda naye yumo humo..
Amepoteza kabisa credibility ya kuongoza Nchi..
Danganya haya mapumbavu ya Lumumba na hayo mauzinduzi yako..
Jinga.
 
Hongera sana NCHI YANGU TANZANIA walahi!
Na bado!
That’s all
 
Mwananchi anataka maisha mazuri
Mwananchi anataka akitafuta apate sasa kama pesa tu ni ngumu kuipata japo anafanya kazi ataifurahia vipi nchi yake na pesa ya kupanda hiyo meli ataitoa wapi
Tuboreshe maisha ya wananchi kwanza waache kulialia kwanza

E&K
 
Hongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.
Acha wivu.
 
Back
Top Bottom