"Meli ya Mgiriki Mzamiaji (Stowaway) haingii"

Offshore Seamen

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
5,489
Reaction score
14,091
Mabaharia wengi waliozamia au waliokuwa na harakati za kuzamia meli miaka ya nyuma wanakumbuka changamoto za kupanda meli na kutorokea nje ya nchi.

Wagiriki ndio nchi iliyokuwa na meli nyingi zipatazo asilimia 23 ya meli zinazofanya biashara duniani.

Kutokana kipindi hicho melini kutokuwepo sheria za wazamiaji, Mabaharia wengi wa meli za kigiriki ilikuwa wakimkamata mzamiaji wanamfanyia vitendo vichafu mpaka ikafikiwa hatua ya meli zao kuogopwa na wazamiaji.
 
Vitendo vichafu ndio nini? Walikuwa wanamtigo mzamiaji au nn? Fafanua
 
Mabaharia wengi wa meli za kigiriki ilikuwa wakimkamata mzamiaji wanamfanyia vitendo vichafu mpaka ikafikiwa hatua ya meli zao kuogopwa na wazamiaji.
Unaona noma kusema walikuwa wanawala viboga wazamiaji (Mabaharia)...
 
Nimekumbuka zamani miaka ya 90's bado nasoma jirani yetu mmoja alizamia kwenda Syria alikuja kurudi mwaka 2009.
.
Syria kumbe ni jamvi la wageni toka miaka hiyo ya giza sasa wakati huo Syria hakukuwa na vita watu walikuwa wanapafanya kama njia ya kwenda Israel na Greece sasa hivi vita iko hali ikoje nawaza tu
 
kuna huyo bwana anahadithia sasa njia panda jinsi alivyo stowaway akafika mpaka uturuki,akarudishwa akafikia keko,aliingilia msumbiji,akaenda mpaka bondeni pale akazamia kwenye meli,baada ya njaa kumkaba ikaidi mwenyewe ajilengeshe
 
Mwingine alizamia kwny meli ya wagiriki alivyorudi bongo akawa anatembea anadunda dunda kisharo, akaulizwa na dingi ake kwanini unatembea hivyo akasema dingi nilikaa kwny meli muda mrefu so ule mtikisiko wa yale mawimbi yanavyopiga kwny meli ndio umefanya nitembee hivi.

Dingi yake akamwambia acha ujinga wewe mi mwaka wa 35 ntamtomb. Mama yako unataka niwe natembeaje sasa.
 
Hii kutembea kwa kudunda walikuwa wanasema ni kutokana na mawimbi na kuvaa safety boot nzito muda mwingi.
 
Unaona noma kusema walikuwa wanawala viboga wazamiaji (Mabaharia)...
Ndio, wengine mpaka walikuwa wakitupwa kwenye maji na kuuliwa.
Baadhi ya vitendo vilionyeshwa katika moja ya movie iliyoigiwa inaitwa DEADLY VOYAGE.
 
Watu walikuwa wakizamia wanabeba biskuti,maji au juisi mtu anajificha kwenye kontena tupu au juu ya mizigo mpaka anafika.
 
Kuna movie moja niliangalia zamani kidogo, kuna waafrika walizamia Meli ya mgiriki walivyoonekana walipigwa nyundo za kichwa wote akabaki mmoja ndio alifika.

Hawa jamaa hawana Huruma na wazamiaji.
 
Kuna movie moja niliangalia zamani kidogo, kuna waafrika walizamia Meli ya mgiriki walivyoonekana walipigwa nyundo za kichwa wote akabaki mmoja ndio alifika.

Hawa jamaa hawana Huruma na wazamiaji.
Inaitwa DEADLY VOYAGE
 
Ndio, wengine mpaka walikuwa wakitupwa kwenye maji na kuuliwa.
Baadhi ya vitendo vilionyeshwa katika moja ya movie iliyoigiwa inaitwa DEADLY VOYAGE.
Nilishawahi bahatika kuitazama hii Filamu, OMAR EPPS ni mmoja wa wale MABAHARIA (Wazamiaji MELI) kutoka GHANA
 
Kuna mzee yupo mitaa ya Kijito Nyama maeneo karibu na Ngalawa pub yeye alizamia meli.
Anaitwa Babu Jane (Bob Journey) ukimpa mtonyo au ukikaa nae meza moja atakueleza visa vyote vya kuzamia meli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…