Meli ya MV. Clarias yazama ikiwa Bandarini

Meli ya MV. Clarias yazama ikiwa Bandarini

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Meli ya MV. Clarias iliyokuwa kwenye maegesho ya bandari ya Mwanza Kaskazini imekutwa imepinduka na kuzama majini katika Ziwa Victoria asubuhi ya leo Mei 19, 2024, huku chanzo cha kuzama kwa meli hiyo kikiwa bado hakijafahamika.

Meli hiyo ambayo hivi karibu ilikuwa kwenye matengenezo bandari ya Mwanza Kusini, ilihamishiwa bandarini hapo tayari kwa kuanza kutoa huduma za usafiri kwa abiria kati ya Mwanza na Kisiwa cha Ukerewe.

Sources Via Azam tv

Taarifa zaidi za kuzama kwa meli hiyo zitakujia kadri zitakavyopatikana.
 
Meli ya MV. Clarias iliyokuwa kwenye maegesho ya bandari ya Mwanza Kaskazini imekutwa imepinduka na kuzama majini katika Ziwa Victoria asubuhi ya leo Mei 19, 2024, huku chanzo cha kuzama kwa meli hiyo kikiwa bado hakijafahamika.

Meli hiyo ambayo hivi karibu ilikuwa kwenye matengenezo bandari ya Mwanza Kusini, ilihamishiwa bandarini hapo tayari kwa kuanza kutoa huduma za usafiri kwa abiria kati ya Mwanza na Kisiwa cha Ukerewe.

Sources Via Azam tv

Taarifa zaidi za kuzama kwa meli hiyo zitakujia kadri zitakavyopatikana.
wanajipigia hela, wanakula kwa urefu wa kamba zao as per ruhusa ya mkuu! Bora wasivimbiwe as per ruhusa ya mkuu
 
Meli ya MV. Clarias iliyokuwa kwenye maegesho ya bandari ya Mwanza Kaskazini imekutwa imepinduka na kuzama majini katika Ziwa Victoria asubuhi ya leo Mei 19, 2024, huku chanzo cha kuzama kwa meli hiyo kikiwa bado hakijafahamika.

Meli hiyo ambayo hivi karibu ilikuwa kwenye matengenezo bandari ya Mwanza Kusini, ilihamishiwa bandarini hapo tayari kwa kuanza kutoa huduma za usafiri kwa abiria kati ya Mwanza na Kisiwa cha Ukerewe.

Sources Via Azam tv

Taarifa zaidi za kuzama kwa meli hiyo zitakujia kadri zitakavyopatikana.
V8 zianze kufululiza uelekeo Kwanza sasa. Mi camera kama yote
 
Meli ya MV. Clarias iliyokuwa kwenye maegesho ya bandari ya Mwanza Kaskazini imekutwa imepinduka na kuzama majini katika Ziwa Victoria asubuhi ya leo Mei 19, 2024, huku chanzo cha kuzama kwa meli hiyo kikiwa bado hakijafahamika.

Meli hiyo ambayo hivi karibu ilikuwa kwenye matengenezo bandari ya Mwanza Kusini, ilihamishiwa bandarini hapo tayari kwa kuanza kutoa huduma za usafiri kwa abiria kati ya Mwanza na Kisiwa cha Ukerewe.

Sources Via Azam tv

Taarifa zaidi za kuzama kwa meli hiyo zitakujia kadri zitakavyopatikana.
KAMA imezama BILA kubinuka, HIYO NI AJALI YA KAWAIDA. Vinginevyo KAMA imebinuka, LAZIMA KUNA external force iliyoTUMIKA kuibinua
 
Chuma Hicho Nilipanda Nakwenda Ukerewe Nauli Tshs 6000/=
Oops Jahazi Imezama!!!
 
Meli ya MV. Clarias iliyokuwa kwenye maegesho ya bandari ya Mwanza Kaskazini imekutwa imepinduka na kuzama majini katika Ziwa Victoria asubuhi ya leo Mei 19, 2024, huku chanzo cha kuzama kwa meli hiyo kikiwa bado hakijafahamika.

Meli hiyo ambayo hivi karibu ilikuwa kwenye matengenezo bandari ya Mwanza Kusini, ilihamishiwa bandarini hapo tayari kwa kuanza kutoa huduma za usafiri kwa abiria kati ya Mwanza na Kisiwa cha Ukerewe.

Sources Via Azam tv

Taarifa zaidi za kuzama kwa meli hiyo zitakujia kadri zitakavyopatikana.
Kuna mtu labda kaharibu kitu inaitwa air tank. Nilijua hili ile meli ya wachina wavuvi ktk bahari ya hindi eneo letu walivyozamisha ile meli polepole. Wataalamu walikuwa wanazungumzia kuharibu air tank meli inazama. Au wataalamu watueleze zaidi juu ya hili.
 
Imebinuka kabisa
An external agent lazima itakuwa imefanya kazi
Kutoka kwenye NEWTONS FIRS LAW OF MOTION (Law of Inertia)
INERTIA is the state of REST or of uniform motion in a straight lline, of a body

Sasa NEWTON alishasema hivi:
Every body (object) continues in its state of REST or of uniform MOTION in a straight line, UNLESS some EXTERNAL FORCE acts on it to make it act ptherwise

Hii inamaanisha kuwa AN OBJECT IN STABLE EQUILLIBRIUM will contunue maintaining that stability FOREVER, unless it is acted upon by an exteran force
 
Back
Top Bottom