Meli ya MV Mwanza, 'Hapa Kazi Tu' yawa gumzo kila kona

Meli ya MV Mwanza, 'Hapa Kazi Tu' yawa gumzo kila kona

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Meli ya MV Mwanza hapa kazi tu, licha ya kuchukiwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla imegeuka kuwa gumzo kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na kati, kutokana na maajabu yake ya ukubwa na kasi yake.

20230227_132459.jpg
 
Huku sasa hivi wamepeleka Kenya kufanyiwa matengenezo ya MV Magogoni.
 
Sasa kwa nn hawakumpatia huyo mkandarasi tenda kivuko hadi kimepelekwa Kenya kwa gharama kubwa
 
Back
Top Bottom