Meli ya Mzigo ya kimarekani imepigwa Makombora na Wanamgambo wa Ki-Yemen mabaharia 7 wamefariki

Meli ya Mzigo ya kimarekani imepigwa Makombora na Wanamgambo wa Ki-Yemen mabaharia 7 wamefariki

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Mwanangu ameniletea hiyo habari yeye anafanya kazi katika Meli za dubai zinapita hapo hapo bahari ya Yemeni Mungu amnusuru Mwanangu na hayo mabalaa amin yarabi. Mwanangu amenitumia katika What's App sasa hivi nina chat nae.
WhatsApp Image 2024-06-22 at 21.58.58.jpeg



 
Taarifa ya mwanao pekee haiwezi kuwa uthibitisho wa hicho kilichotokea..........

Tupe source ya kuaminika na link
Mkuu utasubiri sana chanzo hutaweza kukipata Wana mgambo wa Ki-Yemen kila siku wanazipiga Makombora Meli zinazopita hapo haswa Meli za Kutoka Ulaya magharibi na Amerika Subiri chanzo utakipata Mkuu.
 
Mwanangu ameniletea hiyo habari yeye anafanya kazi katika Meli za dubai zinapita hapo hapo bahari ya Yemeni Mungu amnusuru Mwanangu na hayo mabalaa amin yarabi. Mwanangu amenitumia katika What's App sasa hivi nina chat nae.
View attachment 3025252


View attachment 3025253
Wayemeni kudai haki za Wapalestina ni"mabalaa", mabalaa ni kufanya kazi nchi na meli zinaziwaunga mkono mazayuni.

Kama mwanao anafanya kazi na nchi zinazowaunga mkono mazayuni, yeye ndiyo balaa.
 
Kama wanauchungu na wapalestina waende front line wakakabiliane na israel kuliko kushambulia meli za mataifa mengine zinazopita hapo. Hawa ni wa kunyukwa mpaka ndani ya yemen ili kuondoa kitisho hicho
 
Hao washenzi wa yemen mbona ulaya na amerika wanawaacha tu watambe? Cammon, wanyukwe washike adabu
Wewe usisikie majina makubwa ukadhani wanaweza kila kitu, watu washawajuwa hao nguvu zao ziko wapi. Afghanistan wameifunguwa macho dunia, kuwa hao si lolote si chochote nje ya midege na mikombora ya kurusha kwa mbali, ukishajuwa kujihami nayo hiyo, hawana ujanja.

Sasa hivi hata manowari lao kubwa la kubeba ndehge washalikimbiza baadra ya kushambuliwa mara mbili na Wayemeni.

wayemeni sasa hivi wanatanuwa tu, wanapiga bahari nne kwa pamoja. Red sea, Indian Ocean, Arabian Sea na Mediterrenean Sea. kwa raha zao.


Jamaa sasa wameshajuwa kuzitunguwa drone zao za kuja kuwachungulia na kuwashambulia, wanaogopa kutuma ndege za marubani.

Mchina na na rafiki yao kiduku Mkorea wapo kimyaaaaaaaa, kama siyo wao.
 
Wayemeni kudai haki za Wapalestina ni"mabalaa", mabalaa ni kufanya kazi nchi na meli zinaziwaunga mkono mazayuni.

Kama mwanao anafanya kazi na nchi zinazowaunga mkono mazayuni, yeye ndiyo balaa.

Ukiwa pale DXB Dubai au Jeddah international airport utaona route nyingi sana za ndege zikiwa zimejaza waarabu wakienda kwenye miji ya USA, UK na kwingineko kwenye nchi zinazounga mkono mazayuni sasa sijui wanakwenda kufanya nini ilihali ndugu zao wanauwawa Palestinaa.

Siku hao waHouth balaa likiwashukia tutaanza kuimba wimbo save Yemeni.
 
Ukiwa pale DXB Dubai au Jeddah international airport utaona route nyingi sana za ndege zikiwa zimejaza waarabu wakienda kwenye miji ya USA, UK na kwingineko kwenye nchi zinazounga mkono mazayuni sasa sijui wanakwenda kufanya nini ilihali ndugu zao wanauwawa Palestinaa.

Siku hao waHouth balaa likiwashukia tutaanza kuimba wimbo save Yemeni.
Wewe usifikiri raia wote wa USA na UK wanakubaliana na serikali yao, ikiwa kusoma huelewi basi hata picha huoni? Hujawahi kuona Wamarekani wanafanya maandamano kuwaunga mkono Wapalestina?

Na hao uliowataja Saudia na UAE, wote hao ni mazayuni na wana mikataba kama waisrael na USa na UK.

Wayemeni vidume wamesimama kidete kuwatetea Wapalestina, kama ilivyo kwa Walebanon na wengine, Saudia na UAE wapo na mazayuni wenzao.

Hata Watanzania wapo waowasaidia mazayuni, au hulijuwi hilo?
 
Unampiga mtoto asiye hatia kisa unamchukia baba.
Meli nyingi mabaharia ni wafilipino sasa unaua wafilipino.
Kama Yemen wana nguvu wapigane na jeshi la USA na sio raia
 
Si uende wewe ukawanyuke kama unaweza , unabonyeza key tu au ndio unaongozwa na Roho Mtakatifu wako ??
mbona unatoa povu, nimegusa ndugu zako wa imani ewe mvaa kobazi mtukuka?
 
Wewe usisikie majina makubwa ukadhani wanaweza kila kitu, watu washawajuwa hao nguvu zao ziko wapi. Afghanistan wameifunguwa macho dunia, kuwa hao si lolote si chochote nje ya midege na mikombora ya kurusha kwa mbali, ukishajuwa kujihami nayo hiyo, hawana ujanja.

Sasa hivi hata manowari lao kubwa la kubeba ndehge washalikimbiza baadra ya kushambuliwa mara mbili na Wayemeni.

wayemeni sasa hivi wanatanuwa tu, wanapiga bahari nne kwa pamoja. Red sea, Indian Ocean, Arabian Sea na Mediterrenean Sea. kwa raha zao.


Jamaa sasa wameshajuwa kuzitunguwa drone zao za kuja kuwachungulia na kuwashambulia, wanaogopa kutuma ndege za marubani.

Mchina na na rafiki yao kiduku Mkorea wapo kimyaaaaaaaa, kama siyo wao.
kwa hiyo yemen ana back up ya mchina na mkorea kaskazini, ongeza na iran. Huoni kuwa hiyo ni vita ya mataifa makubwa?
 
Wewe usifikiri raia wote wa USA na UK wanakubaliana na serikali yao, ikiwa kusoma huelewi basi hata picha huoni? Hujawahi kuona Wamarekani wanafanya maandamano kuwaunga mkono Wapalestina?

Na hao uliowataja Saudia na UAE, wote hao ni mazayuni na wana mikataba kama waisrael na USa na UK.

Wayemeni vidume wamesimama kidete kuwatetea Wapalestina, kama ilivyo kwa Walebanon na wengine, Saudia na UAE wapo na mazayuni wenzao.

Hata Watanzania wapo waowasaidia mazayuni, au hulijuwi hilo?
unachekesha! Lini saudia na UAE wamekuwa ni wazayuni, au kwa sababu hawana mizozo na israel?
 
Wewe usifikiri raia wote wa USA na UK wanakubaliana na serikali yao, ikiwa kusoma huelewi basi hata picha huoni? Hujawahi kuona Wamarekani wanafanya maandamano kuwaunga mkono Wapalestina?

Na hao uliowataja Saudia na UAE, wote hao ni mazayuni na wana mikataba kama waisrael na USa na UK.

Wayemeni vidume wamesimama kidete kuwatetea Wapalestina, kama ilivyo kwa Walebanon na wengine, Saudia na UAE wapo na mazayuni wenzao.

Hata Watanzania wapo waowasaidia mazayuni, au hulijuwi hilo?
Naona katika kuandika umeongozwa na hisia za kiislamu zaidi
 
Back
Top Bottom