Meli yawaka moto Red Sea. Meli za kivita za Marekani na Ufaransa zimeshindwa kuzuia shambulio

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa bandari ya salama ina kosa gani? Sisi hatuna ugomvi na mtu
When you think someone is or are in trouble due to the lack of justice and you think you are safe because haijakugusa, just learn everything happens in circle. Wakati wsko ukifika ndo utajua now the shit is knocking in the backyard🤣😀
 
Israel ina mboga mboga na nyama wanazolima kwenye ardhi haramuj.Vyengine lazima vitoke nje.
Houth wamejua wapi pa kupiga.
Hivi nauliza tu ndugu hawawezi kuzungukia kule juu kwa Spain japo naona ni mbali sana
 
Kuna watu ambao, thinking capacity zao ni ndogo sana ,Yemen ni kama mlango wa meli zinazokuja toka ulaya na America kuja bahari ya Hindi au kutoka bahari ya Hindi kwenda nchi za magharibi.Sasa mtu anashangilia kabisa akifiri Yemen ni mlango wa meli kwenda Israel.At whatever the case hali ikiendelea kama hivi nchi zitakazo athirka miongoni mwao kwa sehemu kubwa ni nchi za Africa.
 
Yemen, anafanya hii vita inakuwa ngumu kwa Marekani na Israel hawakutegemea kama mambo yatakuwa hivi, mashabiki mandazi wa Israel na Marekani JF, wanadhani Yemen ni kama Gaza😂

Hii vita inapiganiwa baharini kwenye eneo la Yemen kawambia mapema sitaki meli yeyote ikatize eneo la Yemen kuelekea Israel pitieni njia ingine, jana kalipua meli ambayo imekaidi amri.

Meneja Mkuu wa Bandari ya Eliat ya ISRAEL: "85% ya mapato yetu yanatokana na uagizaji wa magari, lakini kutokana na vitisho vya Yemen (Houthi), meli zinazobeba magari elfu 14 hazijaweza kuingia nchini tangu Novemba 15."


View: https://x.com/swilkinsonbc/status/1734372223547232698?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Mtakapoona meli z8nazotia nanga bandari ya salama zinashambuliwa pua ndipo mtazinduka na kuacha kushabikia upuuzi wa hizi vita zinazoonesha uhayawani wa binadamu.
Ufahamu lolote kuhusu Yemen anapambana Israel, hizo porojo zako bandari yetu ishambuliwe kwa lipi?
 
Ila siku upepo ukigeuka, na sio mbali, wasianze kumwita allah
Allah ni wa wote hata hushangai watu wenye silaha kali na technojia yote kushindwa kukimaliza kikundi kidogo tu cha hamas kwa zaidi ya miaka 70 sasa na kushindwa kuwaokoa mateka zaidi ya 100 kwa zaidi ya miezi mitatu , huoni uwepo wa mungu hapo?
 
Poleni sana, nasikitika watu wa Yemen kipigo kikianza huyo Allah hatawasaidia, youth wanawasha moto halafu hawawezi kuuzima, ni suala la muda tu, mtatafutana
Angalia tabu anayopata israel sasahivi , itabidi aizunguke africa ili kuwakwepa wanaume
 

Attachments

  • Screenshot_20231211-174609_Instagram.jpg
    75.9 KB · Views: 5
Msianze kuwashangilia ila kiyama kikiwashukia mnaanza kupiga kelele za kuonewa
Washukiwe na kiama mara ngapi? Vita ya Saudia na Yemeni ilipangwa na kufadhiriwa na marekani na genge lake, na mkafanya kila aina ya uharibifu ikiwa kuwatia njaa na maradhi. Matokeo yake mmewatia usugu na sasahivi wa Houth wanapenda vita kuliko chakula
 
Acha ulongo, Houth wanazuia meri zinazokwenfa Israel tu
 
Hauthi wanatafutwa sababu, watahiniwa soon. Stay tunned
 
Weka hapa ushahidi hiyo meli ilikuwa inakwenda Israel.
Sangoma unataka kuichonganisha Yemeni na Afrika, umefeli sana. Mimi nimesimamia ktk matamko yanayotolewa na Houth kila siku. Wewe ulichokiaema ndio unatakiwa kukithibitisha kwa kutuambia hiyo meri ilikuwa inakwenda wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…