Wakiua watoto na wanawake badala ya kupambana na WaHouthis lazima watu waandamaneNmesikia safina el mamluki israili kweli kiarabu ni kibantu back to the topic wakipigwa mtaandamana na mtapiga ukunga kuomba huruma ya dunya
Houthis wakijificha madrasa au clinic watafariki na watoto wao Mimi sishabikii vita naamin all lives matters vita Ione tu aljazeera au kwa movie za Rambo ila kiuhalisia ni kitu ambabcho huwez kumtakia hata adui yako , Mimi nmeishi Liberia kipind Cha mwisho Cha Charles Taylor acha kabisa mjukuu wangu mamboWakiua watoto na wanawake badala ya kupambana na WaHouthis lazima watu waandamane
Mlianza wenyewe mkawaua zaidi ya 1000 na hamkuchagua watoto wala wanawake na mkawateka, mlitegemea Nini? acheni kulia lia piganeni au acha mzayuni amalize kaziNafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Sasa hivi hakuna cha kuwazuia mashaheed bali ni mazayuni wasimamishe vita na warudi mwenye nipaka inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa.Nmesikia safina el mamluki israili kweli kiarabu ni kibantu back to the topic wakipigwa mtaandamana na mtapiga ukunga kuomba huruma ya dunya
Kwamba boti za Bakhresa zinamilikiwa na Tanzania!Exactly, yaani ni meli inayomilikiwa na Israel.
Hapana, aidha unakosea kwa kuwa hujuwi ulisemalo au unajifanya u juha tu.Mlianza wenyewe mkawaua zaidi ya 1000 na hamkuchagua watoto wala wanawake na mkawateka, mlitegemea Nini? acheni kulia lia piganeni au acha mzayuni amalize kazi
Je, na wewe ulijisikia raha walichofanya Hamas october 7 kwa hao hao watoto na wanawake huko israel?Nafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Duwh sasa na friends wa mazayuni wakiingia vitani piw hapo siitakua miyeyusho na sisi mashabiki tutaanza kudundana huku mitaani itakua sio poa nadhani tuombee tu amani tu ya Dunia , ila kwa huu mgogoro wa Gaza na ule wa Ukraine nimegundua UN ni mzigo tu kwa Dunia Haina tofaut na geshi letu la wazima miotoSasa hivi hakuna cha jywazuia bali ni mazayuni wasimamushe vita na warudi mwenye nipaka inayitambuliwa na Umoja wa Mataifa.
Hizi meli tunaoumia sisi, zaidi ya makampuni makubwa 70% yanayomiliki meli yana hisa za wayahudi.
Kilio kwetu, kupanda bei ya kila kitu. Yite kwa anili mazayuni wanataka nchi ya watu kwa nguvu.
Bunge la Algeria nalo limeruhusu waingie vitani kama Yemen.
Wamisri wameanza kumoinga Rais wao, wanasema ni mzayuni, wanataka aingie vitani.
Sana, unafikiri watakaa kambi ya mateso mpaka lini? Huelewi kuwa Ghaza ni kambi ya mateso? Wapalestina wanazaliwa mpaka wanazeeka wapo kambi ya mateso.Je na wewe ulijisikia raha walichofanya Hamas october 7 kwa hao hao watoto na wanawake huko israel?
Wamelipua. Sio kuripuaWayemeni walisema hawataki kabisa meli za mazayuni ikatize kwenye sehemu wanazozifikia, yaani wasizione kabisa kwenye bahari yao au ya karibu yao, mpaka wawache kabisa kuwauwa na kuwatesa Wapalestina bila ya sababu yoyote.
Baada ya kuiteka meli moja wiki iliyopita sasa wameripua nyingine tatu zikiwa baharini:
View attachment 2825256
Na hizbollah wanaendelea kutuma makombora ya mbali huko Kaskazini mwa Israel kama mnavyojionea kwenye video clip.
Japo siungi mkono kinachotokea Gaza, lakini siungi mkono mtu kufurahia terrorism na kushabikia uharamia!.Wayemeni walisema hawataki kabisa meli za mazayuni ikatize kwenye sehemu wanazozifikia, yaani wasizione kabisa kwenye bahari yao au ya karibu yao, mpaka wawache kabisa kuwauwa na kuwatesa Wapalestina bila ya sababu yoyote.
Baada ya kuiteka meli moja wiki iliyopita sasa wameripua nyingine tatu zikiwa baharini:
View attachment 2825256
Na hizbollah wanaendelea kutuma makombora ya mbali huko Kaskazini mwa Israel kama mnavyojionea kwenye video clip.