Meli za Mazayuni zimelipuliwa baharini (video clip)

Vp ulikoswa koswa kufa au kutekwa babu?
Briefly tupe story

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wapalestina toka wako tumboni mpaka wanakufa wanachezea kichapo kwenye ardhi yao.

Mpaka lini?

Sasa wameamuwa, Hizbullah wanazidi kupeleka moto israel:

Your browser is not able to display this video.
 
Kuna vi nchi vinashida mpaka kuchani sasa hako kanchi wananchi tu wananuka shida kanavita mpaka na nchi aliyo zaliwa mtume Saudi tena kananunua ugomvi wa israeli Naona Israeli wanacheka tu maana watakapiga harafu humu wavaa kobas watakuja na kelele watoto wanauliwa wakati uchoko walianza wao.
 
Hivi mpalestina angekuwa mbahai au mhindu ungekuwa na uchungu nae. Vipi Congo sio watu wale
 
Na ww kusoma kote huku unaamin Israel ni taifa la mungu hawa hawa wanaofsnya mapenzi ya jinsi moja do .shida kweli
 
Iran anachokitafuta atakipata tu, amewindwa kwenye mtego wa Gaza ameukimbia kwa uoga ila kuna siku atanasa tu. Yeye ndiye amehusika kulipuliwa kwa hiyo meli ya mfanya biashara wa israel na hata ile ya kwanza yeye ndiye ali coordinate utekaji wake.
Iran ndio anatoa mkong'oto huko Gaza , Yemen, Hezbollah kule Lebanon ma islamic resistance kule Iraq ila kwakua huna akili huwezi kujuwa. Iran yupo vitani na marekani na israeli hawawezi kumfanya chochote.
 
Yemen siyo Gaza waulize Saudi Arabia kilichowakuta mpaka wakaomba amani. Wale jamaa wanapiga kwenye mishipa ya fahamu pale Saudia walikua wanapiga kwenye vile visima vya mafuta na mitambo ya kusafishia mafuta saudi aramco . Msaudia akaona hapa nafilisika akasimamisha vita.
 
Nafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Wafuasi wa Mudi bana, hiyo Palestina ina wanawake na watoto tu? Nyie watu wanafiki sana! Mmemzunguka Myahudi pale na ushenzi wake hamna mnachofanya zaidi ya kubweka tu kama mbwa Koko!
 
Nafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Mi nafurahi mkiuawa, tena haijatosha yatakiwa IDF iongeze mashambulizi ili watu kama nyie msiwepo
 
Wape hongera nyingi.
Mazayuni yakijibu mapigo mshangilie pia
 
Mlianza wenyewe mkawaua zaidi ya 1000 na hamkuchagua watoto wala wanawake na mkawateka, mlitegemea Nini? acheni kulia lia piganeni au acha mzayuni amalize kazi
Trump alishawahi lopoka "the best way ya kudeal na gaidi ni kumfanyia ugaidi zaidi ya alichokifanya"
 
Tunazungumzia umiliki, ilipokamatwa meli ya kwanza israel ilikanusha sio yake bali ni ya mfanya biashara mkuu wa israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…