Vp ulikoswa koswa kufa au kutekwa babu?Houthis wakijificha madrasa au clinic watafariki na watoto wao Mimi sishabikii vita naamin all lives matters vita Ione tu aljazeera au kwa movie za Rambo ila kiuhalisia ni kitu ambabcho huwez kumtakia hata adui yako , Mimi nmeishi Liberia kipind Cha mwisho Cha Charles Taylor acha kabisa mjukuu wangu mambo
Wapalestina toka wako tumboni mpaka wanakufa wanachezea kichapo kwenye ardhi yao.Houthis wakijificha madrasa au clinic watafariki na watoto wao Mimi sishabikii vita naamin all lives matters vita Ione tu aljazeera au kwa movie za Rambo ila kiuhalisia ni kitu ambabcho huwez kumtakia hata adui yako , Mimi nmeishi Liberia kipind Cha mwisho Cha Charles Taylor acha kabisa mjukuu wangu mambo
Faiza foxy siyo mtz, ni muarabu wa OmanMtanzania anafurahi kulipuliwa meli ya wazayuni.
Kazi kweli kweli.
Hivi mpalestina angekuwa mbahai au mhindu ungekuwa na uchungu nae. Vipi Congo sio watu waleHaoana, unakosea kwa kuwa hujuwi au unajif I a ujuha tu.
Vita imeanza 1948 Muingereza alipompa mzayuni ardhi ya wapalestina.
Unafikiri bila kusaidiwa na Mmarekani na Mwingereza bado wangeshikilia ardhi ya Wapalesina? Wangesharudi kwenye mipaka yao.
Lakini sasa watarudi wakipenda wasipende. Wacha dunia iwake moto.
Unafikiri hii itaishia huko tu kama mazayuni hawarudi kwenye mipaka yao?
Kwa hiyo ww inafurhi jamaa wanavyofurumisha yale majumba na kuua mahosptial sio Pole sanaMtanzania anafurahi kulipuliwa meli ya wazayuni.
Kazi kweli kweli.
Zinalipa kodi wapiKwamba boti za Bakhresa zinamilikiwa na Tanzania!
Acha uongoHizi meli tunaoumia sisi, zaidi ya makampuni makubwa 70% yanayomiliki meli yana hisa za wayahudi.
Na ww kusoma kote huku unaamin Israel ni taifa la mungu hawa hawa wanaofsnya mapenzi ya jinsi moja do .shida kweliJapo siungi mkono kinachotokea Gaza, lakini siungi mkono mtu kufurahia terrorism na kushabikia uharamia!.
Israel ni taifa la Mungu, kuwaita Mazayuni ni sawa na kuwaita Palestinians ni gentiles!.
Japo mimi ni Mkristo lakini siungi mkono Israel inachoifanya Palestine!. Tena niliwahi kushauri Pasco - Unawezaje kusema maneno kama haya ?
P
Iran ndio anatoa mkong'oto huko Gaza , Yemen, Hezbollah kule Lebanon ma islamic resistance kule Iraq ila kwakua huna akili huwezi kujuwa. Iran yupo vitani na marekani na israeli hawawezi kumfanya chochote.Iran anachokitafuta atakipata tu, amewindwa kwenye mtego wa Gaza ameukimbia kwa uoga ila kuna siku atanasa tu. Yeye ndiye amehusika kulipuliwa kwa hiyo meli ya mfanya biashara wa israel na hata ile ya kwanza yeye ndiye ali coordinate utekaji wake.
Yemen siyo Gaza waulize Saudi Arabia kilichowakuta mpaka wakaomba amani. Wale jamaa wanapiga kwenye mishipa ya fahamu pale Saudia walikua wanapiga kwenye vile visima vya mafuta na mitambo ya kusafishia mafuta saudi aramco . Msaudia akaona hapa nafilisika akasimamisha vita.Kuna vi nchi vinashida mpaka kuchani sasa hako kanchi wananchi tu wananuka shida kanavita mpaka na nchi aliyo zaliwa mtume Saudi tena kananunua ugomvi wa israeli Naona Israeli wanacheka tu maana watakapiga harafu humu wavaa kobas watakuja na kelele watoto wanauliwa wakati uchoko walianza wao.
Wafuasi wa Mudi bana, hiyo Palestina ina wanawake na watoto tu? Nyie watu wanafiki sana! Mmemzunguka Myahudi pale na ushenzi wake hamna mnachofanya zaidi ya kubweka tu kama mbwa Koko!Nafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Zipigwe motoMtanzania anafurahi kulipuliwa meli ya wazayuni.
Kazi kweli kweli.
Huyo ni gaidiMtanzania anafurahi kulipuliwa meli ya wazayuni.
Kazi kweli kweli.
Mi nafurahi mkiuawa, tena haijatosha yatakiwa IDF iongeze mashambulizi ili watu kama nyie msiwepoNafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Walau Meli na Mizigo vina Bima πππ₯Nafurahi sana tena, wewe unaona raha wanavyouwa watoto na wanawake huko Palestina?
Wape hongera nyingi.Wayemeni walisema hawataki kabisa meli za mazayuni ikatize kwenye sehemu wanazozifikia, yaani wasizione kabisa kwenye bahari yao au ya karibu yao, mpaka wawache kabisa kuwauwa na kuwatesa Wapalestina bila ya sababu yoyote.
Baada ya kuiteka meli moja wiki iliyopita sasa wameripua nyingine tatu zikiwa baharini:
View attachment 2825256
Na hizbollah wanaendelea kutuma makombora ya mbali huko Kaskazini mwa Israel kama mnavyojionea kwenye video clip.
Trump alishawahi lopoka "the best way ya kudeal na gaidi ni kumfanyia ugaidi zaidi ya alichokifanya"Mlianza wenyewe mkawaua zaidi ya 1000 na hamkuchagua watoto wala wanawake na mkawateka, mlitegemea Nini? acheni kulia lia piganeni au acha mzayuni amalize kazi