Mélissa Theuriau: The Most beautifu Tv Presenter!

Ndiyo wakuu,

Kama mdau alivyosema hapo juu, huyu dada anaitwa Mélissa Theuriau
31yrs ni mtangazaji wa vipindi vya asubuhi katika TV ya LCi ya hapa Ufaransa. Ila nafikiri ameolewa mwaka jana na bishoo mmoja hivi.

Cool
Sasa kama huyo mwana dada ameolewa sisi inatuhusu nini ndugu yangu Mkeleketwa?
 
Sii uwongo..Mguu wa bia kama mabinti wa Bukoba mie napenda.. then ndo naangalia sura!
 
Kila nikimuona huwa ananibariki sana!Mai waifu wangu anajuaga me naangaliaga tuu uabiri wa hali ya hewa ila hajui kama kuna kitu kinanivutia
Ahaaa Mkuu, ina maana huo utabiri wala huusikii wala kuuona maana unasikia sauti tu na macho yako hayabanduki kwenye picha ya binti
 
Ahaaa Mkuu, ina maana huo utabiri wala huusikii wala kuuona maana unasikia sauti tu na macho yako hayabanduki kwenye picha ya binti

Samahani Mkuu na wakuu wengine, hivi kama mwanamume utajisikiaje ukisikia watu wanammwagia sifa my wife wako kama hivi? Utavimba kichwa au ndo utakosa amani (to be insecure)?
 
Kwani Wakuu; hapa bongo kwenye TV zetu, hakuna akina dada wazuri wenye mvuto?


Chiku Lweno na Fatma almasi nyangasa(ITV)....kwa kweli wananivutia sana kwenye utangazaji wao.....kwa hapa bongo....
 
Samahani Mkuu na wakuu wengine, hivi kama mwanamume utajisikiaje ukisikia watu wanammwagia sifa my wife wako kama hivi? Utavimba kichwa au ndo utakosa amani (to be insecure)?


Mkuu;

Mimi kwangu haina noma . . . Mywife wangu ni bomba sana. Mara nyingi annieleza viroja vya jamaa wanavyompigia speed na wengine wanavyomsifia.

Tukiwa katika kadamnasi ya watu, wadau huwa hawana hiana kumwaga sifa zake. najitahidi sana kumvisha apendeze na hii inanipa faraja sana.
 


I love that: mke wako wako tu ndiye mzuri kuliko wanawake wotye duniani justification ni kwamba thats why ulimuwowa!

Keepp it up pal.
 

Tehe tehe tehe! excellent hapo umesema, Kizuri chako mkuu, vingine viosha macho
 
ila sijaona uzuri wa huu dada kuwashinda wengine, naona wakawaida tu, msinivamie kuwa ni jealous jamani, nazungumza ukweli wangu si mnajua tu uzuri wa mtu ni mtu na jicho lake, langu halijaona kitu hapo
 
Mkuu Superman hivi mamaa huwaga ana kuwepo ukitumia JF? Hahaha. Msema ukweli mpenzi wa Mungu this lady is beautiful I think to any man's standards.

Mi standards zangu zina-include wow.... sasa bila kuona nampa 60/40 (benefit of doubts)
 
Kwa wale wafuatiliaji wa Ma- Celebrity, tusaidieni yafuatayo:

1. Huyu Mtangazaji anaitwa nani?
2. Yuko Nchi gani?
3. Anatangazia TV gani?












mwanawane kitu kimetulia nimekukubali unajua kuona. Ila hujatupa picha yote inawezekana usafiri hamna au ana miguu ya kichaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…