Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Mimi nishaachana nazo najikuta najifunza matusi mapya kila siku ya kujibizana na watu tu.
Kinachonikera kingin yaani mtu anakuwa chawa hadi kwenye jambo ambalo liko wazi kabisa lakini atakomaa kutetea unatamani hata ungekuwa na bunduki umuulie mbali kabisa huku unamtukana matusi yote
 
Kinachonikera kingin yaani mtu anakuwa chawa hadi kwenye jambo ambalo liko wazi kabisa lakini atakomaa kutetea unatamani hata ungekuwa na bunduki umuulie mbali kabisa huku unamtukana matusi yote

[emoji28] dah! acha tu mimi natamanigi nigeuke alshabab niwalipue wajinga wote wanaoshabikia upuuzi
 
Na hachoshiii kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kakiwasha kwa mshamba nimecheka balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimeamua nitoke uzi wa watu usije kufutwa bure
 
Kakiwasha kwa mshamba nimecheka balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimeamua nitoke uzi wa watu usije kufutwa bure
Wizooo ana fujoo balaa khaaah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sina nachofanyaa, mie kazi yangu kuswampa JF, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na kunalipa kuswampa hajui tu!! Aseme tumpe kadi ya uwanachama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wizooo ana fujoo balaa khaaah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wizo anajua kuwapanikisha watu mpk wanatoka nje ya mstari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Gentamacyne atakua na utindio wa ubongo🤣🤣 Ye kila akitoa boko akianza kushambuliwa tu tena kwa hoja ye ni mwendo wa mitusi reja reja🤣🤣🤣
 
Reactions: EEX
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…