Bibi kashakiwasha hukooo...
ila bahati mbaya kaingia kwa gear ndo halafu yuko moodless, bahati yake mtoa mada
Yaani wewe bwana [emoji23]Nini
Mimi ?Yaani wewe bwana [emoji23]
Hahah! Ni kweli asee, anawapambania wapate bandari nzima nzima ndo awarudie uku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bibi Fai hataki kelele na mtu, yupo busy na waarabu ss hivi
Hakika wewe ni legend😁😁Nimekuelewa legend!hapa umenitaja Kiana kwamba unanielewa....and vice versa is true.,upo kwenye list ya favorite people wangu😁😁😁
Amani tu kuna ubaya kufahamianaMhmmm!! Kuna nini bro?
beeeeh',
Khaaaaaaa!!!! Ko hasira za kumpoteza wizo unamtaka udugu wangu?!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nidalalie aisee mwanangu😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe jana ulitupia kisingura sio bure
Amani tu kuna ubaya kufahamiana
Ila ujumbe wangu utafikishiwa tu usijali nimemtuma kuwadi wangu tayari
wasalimie watoto nyumbani
Hahah! Ni kweli asee, anawapambania wapate bandari nzima nzima ndo awarudie uku
Nidalalie aisee mwanangu[emoji23]
Nataka kutolewa ushamba😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Udugu utamuweza lakini?! Yule kashazoea hekaheka
Nataka kutolewa ushamba[emoji23]
Nitext nikueleze mwenyewe ni heshima sana kusikia kutoka kwangu[emoji28] dah! Haya bhana
Ongea nae bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio ushamba tyuu!! Atakuchachua kabisaa
Nitext nikueleze mwenyewe ni heshima sana kusikia kutoka kwangu
mshamba_hachekwi nimemuagiza kwako kwa hiyo atafikisha pia
I am very serious not joking at all.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ongea nae bana
Mi nakuaminia[emoji23]
I am very serious not joking at all.
Niko serious njoo tuongeee wewe mama wawiliWee Gilly umeamka na mimi leo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]