Uchaguzi 2020 Membe anaweza kutuvusha upinzani kuliko Lissu

Tuache "double standard" Mbona EL hakuambiwa aanzishe chama?Si Mbowe wala Zitto anayeweza kukataa pesa kisa nyinyi wafuasi hamumtaki BCM
 
Atuambie kwanza faida tuliyopata kama nchi kutokana na safari nyingi sana za JK nje ya nchi alipokuwa Rais. Alituahidi.
 
Tuache "double standard" Mbona EL hakuambiwa aanzishe chama?Si Mbowe wala Zitto anayeweza kukataa pesa kisa nyinyi wafuasi hamumtaki BCM

Kwa taarifa yako mimi simsemei mtu, ila mimi nilipinga since day 1 huyo EL alipokuja cdm. Wanaweza kuchukua hela kweli maana wao ndio wenye maamuzi, lakini ni at the expense of their parties. Sisi wafuasi ndio nguzo yao ya kweli ya muda mrefu, na sio hizo hela za hao wazee wahuni.
 
Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
Kwenye mada hii naendelea kuona jinsi wale wanaojiita wasomi walivyokuwa na uwezo mdogo wa kufikiri...

Pia kitendo cha kuamini tu kwamba kiongozi bora anapatikana kwa kupiga kura peke yake ni uzumbukuku mkubwa sana.
 
Sina wasiwasi na Membe bt wasiwasi wangu upo kwa mtangaza matokeo je atakuwa tayari kutangaza matokeo kuwa Membe kashinda?
 
Alishindwa kutumia ujasusi wake wakati Swahiba wake JK akiwa Rais na mwenyekiti wa chama hataweza wakati huu mpinzani wake akiwa ameshikilia vyote viwili.
Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
 
Tuache "double standard" Mbona EL hakuambiwa aanzishe chama?Si Mbowe wala Zitto anayeweza kukataa pesa kisa nyinyi wafuasi hamumtaki BCM

Kama nyie mlivyoshindwa kukataa pesa za Lowassa alivyorudi Ccm pamoja na kumuundia mahakama ya mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…