johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mgombea urais wa JMT kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mh Membe ametangaza kuanza rasmi kampeni kesho 17/09/2020 na kwamba washindani wake wakae chonjo.
Membe amesema anazo mbinu nyingi ambazo atazitumia kuhakikisha anaibuka mshindi.
Maendeleo hayana vyama!
Membe amesema anazo mbinu nyingi ambazo atazitumia kuhakikisha anaibuka mshindi.
Maendeleo hayana vyama!