johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tundu Lisu akae chonjo saa mbaya!Dah, kwl siasa si hasa
Wacha utani bwashee, Lissu ni mlima kilimanjaro, huyo ni saizi ya Magufuli.Tundu Lisu akae chonjo saa mbaya!
He is an opportunity seekerMgombea anaacha kampeni anaenda misele harafu baadaye anarudi anasema ataendelea na kampeni hivi ACT kwann wasingemunga lisu tu kuliko huyu mtu
ππππHuyu ametimiza ndoto yake ya kugombea uraisiSiamini kama huyu ndio yule Membe tuliyeambiwa ni jasus mbobevu, Magu atamkoma na akiguswa ananuka
Mbinu zile za kujulikana amerudiAmewataja waliomteka msaidizi wake?
mkuu kwangu mie naona Magu kapata % chache sana ukilinganisha na namna anavyopiga pini upinzani kwa namna nyingi ...alipaswa kupata 95% angalau.Mwanzoni Niliwapa Kura
Membe 5%
Lisu 10%
Magu 83%
sasa Itakuwa
Membe 2%
Lisu 13%
Magu 84%
Hasa Gaezeti liandike Nini Mpuuzi kutwa Kutukana kupanic hana lolote lamaanamkuu kwangu mie naona Magu kapata % chache sana ukilinganisha na namna anavyopiga pini upinzani kwa namna nyingi ...alipaswa kupata 95% angalau.
jana nimeshangaa habari magazetini zoote zinamhusu yeye tu kana kwamba wagombea wengine hawafanyi kampeni kbs, TV's, redio ndio usime.
hakika uwanja wa ushindani ungekuwa sawa Jamaa angekuwa ktk wakati mgumu sana...najua nafsi yako inajua hvy ila kamwe huwezi kukiri hapa!.
DuhMembe anafaa kufanya comedy
kama mnafukuza wamahabari nani ataawaandika?jana nimeshangaa habari magazetini zoote zinamhusu yeye tu kana kwamba wagombea wengine hawafanyi kampeni kbs, TV's, redio ndio usime.