Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

Ku-deal na mtu kariba ya Membe ujipange hasa. Huyu ni jasusi si wa kitoto. Ni diplomat maarufu sana huko duniani. Bila Membe Jakaya asingepata Urais na hata baada ya kupata Kuna baadhi ya viongozi duniani asingewafikia. Huyo ni mwandamizi wa Jesuits mbali na kuwa Mwalimu wa ukachero wa M16 ya Uingereza. Niishie hapo maana kwanza ujue Membe anawakilisha wangapi kwenye kesi hiyo?
 
Halafu huyo ndio alitaka kuwa kiongozi wa nchi mwenye kinyongo cha kutu. Basi atakufa bila kusamehe na Mungu naye hatamsamehe kwa chochote hata kama akitubu kwa kutoa machozi ya damu.

Kuna sababu maalum Mungu amekusudia kwa Membe kuwa na kiburi cha umimi wa kibinadamu kwamba aabudiwe. Huyu inawezekana ndio alishiriki mchezo mchafu
 
Alimwambia niguse ninuke....uone. sasa naamini Musiba ameelewa somo la niguse ninuke.

Unapoona umekosa omba radhi mapema badala ya kushupaza shingo matokeo ndio hayo. Kwa namna alivyofanya Musiba naunga mkono familia ya Membe
 
Kafulia.

Asingepambana namna hiyo kumdai musiba.
 
Kama alishiriki huo 'mchezo mchafu' basi namshukuru sana. Atakuwa ametusaidia kutuondolea lile dubwasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…