Uchaguzi 2020 Membe bado ana ndoto wa kuwania urais wa JMT?

Uchaguzi 2020 Membe bado ana ndoto wa kuwania urais wa JMT?

Joined
Jul 8, 2013
Posts
53
Reaction score
75
Kada zamani wa Chama cha Mapinduzi Benard Membe ameibuka tena na kuzungumzia masuala ya kikanda na kimataifa.

Leo amenukuliwa ni mitandao mbalimbali ukiwemo Jamii Forums akieleza kuwa Tanzania inaweza kutengwa kikanda ikiwa haitashtuka na kutekeleza miongozo inayotolewa na WHO wakati huu wa mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Matamshi ya Membe leo yamekuja baada ya viongozi wa kanda ya EAC kukukana kidijitali kuzungumzia mbinu za pamoja za kukabiliana na msambao wa Corona na kukwamua uchumi.

Matamshi ya Membe yamekuwa yakijadiliwa sana mitandaoni na wengine wakiandika "Sema rais wet u", "Jitose Membe urudishe kwenye mstari diplomasia yetu"

Kauli hizi za Membe zinamweka hewani ktk uga wa siasa za nchi yetu.

Membe bado atakuwa na ndoto ya kuwania urais ktk uchaguzi mkuu?
 
Tutalivuka daraja tukilifikia! Muda utasema.
 
Kada zamani wa Chama cha Mapinduzi Benard Membe ameibuka tena na kuzungumzia masuala ya kikanda na kimataifa.

Leo amenukuliwa ni mitandao mbalimbali ukiwemo Jamii Forums akieleza kuwa Tanzania inaweza kutengwa kikanda ikiwa haitashtuka na kutekeleza miongozo inayotolewa na WHO wakati huu wa mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Matamshi ya Membe leo yamekuja baada ya viongozi wa kanda ya EAC kukukana kidijitali kuzungumzia mbinu za pamoja za kukabiliana na msambao wa Corona na kukwamua uchumi.

Matamshi ya Membe yamekuwa yakijadiliwa sana mitandaoni na wengine wakiandika "Sema rais wet u", "Jitose Membe urudishe kwenye mstari diplomasia yetu"

Kauli hizi za Membe zinamweka hewani ktk uga wa siasa za nchi yetu.

Membe bado atakuwa na ndoto ya kuwania urais ktk uchaguzi mkuu?



Sent using Jamii Forums mobile app
Membe Jasusi Mbobezi ,Mtaalamu wa diplomasia kama Late Mahiga, Naunga Mkono Hoja Membe aje kugombea Urais via ACT.(UKAWA 2 Pasipo na NCCR na CUF).
 
Hata km anandoto za kugombea Urais aache kumsakama Rais Magufuli bwana

Hata km hampendi Rais Magufuli walau amuheshimu ni kiongozi wetu
 
Back
Top Bottom