Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
Mbwekaji wa taifa, naona CCM ina jembe jipya kwa sasa linaitwa Musiba.
 
Basi unaona umemaliza!!?
lete kifungu cha sheria mahususi kutoka kwenye penal code......
 
Vipi umepima asilimia za upendo wa Watz kwa boss wako katika siku hizo tatu!!!?
 
Uzishi wa kuzushiwa kufa wewe unaona ni uzushi mdogo.?? Pevuka basi asee .
 
Mpe vidonge huyo japo vchungu
 
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
Kwanini hajapelekwa mahakamani? au na yeye keshaandika barua kwenda kwa DPP?
 
Kelele za majuha wa Twitter hazinisumbui kabisa.
Kumtetea mgonjwa hakuondoi ugonjwa wake. Toka jumapili mpaka leo hajaonekana fonti fedi ujue bado hajapona vizuri, muda ni mwalimu mzuri sana black and white zitajulikana tu. Kwanza kuugua siyo dhambi au huyo Jiwe wenu huwa haugui?Kwahiyo mnataka kutuaminisha malaika mkuu Jiwe huwa haugui siyo?
 
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
And here's the first Puppy...
 
Alichokitarajia Membe kimefeli,utajibuje mambo ya kijinga,unamjibu nani,kwa mara nyingine mtego wake Membe umembwekea mwenyewe na mbilikimo wake.
 
haya mabilioni ulimpa wewe mkuu? au na wewe ni mbwekaji wa Taifa
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
 
Wewe ni bogus kweli unafikiri ki-academically sana umekwenda ukabeba general definition ya treason. Mimi naongelea definition according to our Penal Code wewe vuvuzela!!

UNAJIPYA NGOSHA MKUBWA MTEMBEA NA REDIO
KAOGE UONDOE HARUFU YA MAZIWA NA MBOLEA YA NG'OMBE
PHACOCHERE MKUBWA WEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…