Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mheshimiwa Membe nashindwa kuamini kuwa wewe ni mwanaintelejensia makini.
Intelligence maana yake ni uwezo wa kuona mbali zaidi ya wengine that's why hata hapa Tanzania ndege anayeona mbali hufanywa kama alama ya intelligency.
Ulipaswa ukae kimya miaka yote mpaka wiki ya kuchukua fomu.
Tena na juhudi ungeunga kabisa, ungetokea mshangao siku moja from no where unakwenda kuchukua fomu.
Kwa hakika ungewapiga chenga wapinzani na wanaCCM pia.
Basi tena, Urais unakupita hapa mjomba.
You can rule but you haven't techniques to rule
Intelligence maana yake ni uwezo wa kuona mbali zaidi ya wengine that's why hata hapa Tanzania ndege anayeona mbali hufanywa kama alama ya intelligency.
Ulipaswa ukae kimya miaka yote mpaka wiki ya kuchukua fomu.
Tena na juhudi ungeunga kabisa, ungetokea mshangao siku moja from no where unakwenda kuchukua fomu.
Kwa hakika ungewapiga chenga wapinzani na wanaCCM pia.
Basi tena, Urais unakupita hapa mjomba.
You can rule but you haven't techniques to rule