Tatizo nimeshawahiwa [emoji85][emoji85][emoji85]Wewe ndio unasababisha nirukeruke, nikikupata wewe natulia kabisa, nakuja kwenu kujitambulisha.
Hahahahhahahhhhhh huo mchezo siweziHiihii nasubiri atoke na suti zake mimi niingie na gwanda zangu
Mrefu flani bwana hayupo kundi la wafupi. Hana udada duu mwenyeweHuyo huyo ila sio mrefu [emoji3][emoji3][emoji3] size ya kati kumbe ndio mkewe wa ndoa kabisa nawaonaga sana mara nyingi wakiwa wote ila nampenda mwenyewe anapenda vigown vifupi
Nataka kutoka valentine na hawa fantasy wanguUnanipenda sanaa..
Najua kipendi ndio kinakufanya unichukie
Mkuu dakika 15 ukiwa unakata kiuno sio kidogo japo sio nyingi piaSasa ndio dk 15!! Utaenjoy?
Hamu ya nini?Mi nna ham.
Basi tuishie hapa wakunyumba huyu ninayemuona nae ndio kama niliyemuongeleaMrefu flani bwana hayupo kundi la wafupi. Hana udada duu mwenyewe
Hao wote waume za watu na hawapendi viandunjeNataka kutoka valentine na hawa fantasy wangu
HB wa kigogo
dingimtoto
Don Clericuzio
ipogolo
mjr95
Mwifwa
List inaendeleaa
Unabidi kisuguliwe like is your last day on earth 😵😵[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mbona mimi kama wamkoani hua mnaonana wapi?Huyo huyo ila sio mrefu [emoji3][emoji3][emoji3] size ya kati kumbe ndio mkewe wa ndoa kabisa nawaonaga sana mara nyingi wakiwa wote ila nampenda mwenyewe anapenda vigown vifupi
Nyooo wananijua nilivyo tallest....Hao wote waume za watu na hawapendi viandunje
“Muulize utatoa hutoi?”Hao wote waume za watu na hawapendi viandunje
Woow.. mita ngapi weweNyooo wananijua nilivyo tallest....
Aisee nakuona usie na chama mojaUnavyoambiwa hua unarespond?
Mimi toka last year nakupigia misele tu unanipotezea.
Unadhani hata nikipenda mwingine nitaanzaaje kumwambia
Na ww[emoji123]“Muulize utatoa hutoi?”
Ki man fongo zaidi
Hapo umeelewa ninayemzungumzia ambae huwa namuonaMbona mimi kama wamkoani hua mnaonana wapi?