know-ledge
Member
- Sep 4, 2024
- 15
- 26
😃😃we kweli mpya...
mkuu futa picha itakuja kukuponza huko baadae ukija kuchangamka!
we kweli mpya...
mkuu futa picha itakuja kukuponza huko baadae ukija kuchangamka!
msela anazingua afikirie na baadae jf mtu unaingia mpole ngoja uzoee utatiririka vingi,leo kesho watu wanafukua kaburi la picha!Nimechekaaaa kisela yaani
katuwekea na picha yake tumuoneee 😏😏😏😕😕😂😂😂😂😊😊😊
Mbona kina Paskali picha zao wameweka humu kwa nini yeye mnamtisha!!??msela anazingua afikirie na baadae jf mtu unaingia mpole ngoja uzoee utatiririka vingi,leo kesho watu wanafukua kaburi la picha!
for official account ambayo utakuwa ns nidhamu nayo ktk matumizi,so kama ataweza hilo ni sawa tahadhari nayompa asije akajisahau akatumia akaunti hii hii ambayo ameshajicholesha! ogopa mitandao huwa haisahau!Mbona kina Paskali picha zao wameweka humu kwa nini yeye mnamtisha!!??
Ukiwemo 😂😂Na kaselfie kdg, ukute kuna watu wamescreenshot
si ajabu akabakizwa na kandambiliKAribu huku utachunwa kila kitu hadi akili takecare
Umeona mabanda hayana kitu ikula kwake tayarisi ajabu akabakizwa na kandambili
Atafungua ID mpyawe kweli mpya...
mkuu futa picha itakuja kukuponza huko baadae ukija kuchangamka!