Asante Madame kwa matusiKaribu humu kuna vichaa kama Sergio 5 kukukatisha tamaa,kukukosoa,kutukana na mengine mengi kwao ndio jadi yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkiambiwa ukweli MNA sema mnatukanwa,acheni tabia za kukwaza wenzenu! Kama mtu kakosea mkosoe na kutoa ushauri hapo hapoAsante Madame kwa matusi
Hunisumbui mshamba km ww nimeona mahali unampango wa kuapply certificate ya HR nikacomfirm uwezo wako wa kufikiriKaa kimya usibishane sana dogo
Ahsante LadyAJKaribu humu kuna vichaa kama Sergio 5 kukukatisha tamaa,kukukosoa,kutukana na mengine mengi kwao ndio jadi yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh...poleHunisumbui mshamba km ww nimeona mahali unampango wa kuapply certificate ya HR nikacomfirm uwezo wako wa kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi safi mwanangu show showMkiambiwa ukweli MNA sema mnatukanwa,acheni tabia za kukwaza wenzenu! Kama mtu kakosea mkosoe na kutoa ushauri hapo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakuzaa wewe hebu kua na adabu kiasiBasi safi mwanangu show show
Basi yaishe kichaa wangu
poa
Jikute unacheka ila ukipigwa Ban ndio utaelewa umuhimu wa ada
[emoji28][emoji28] si anampa misingi....Karibu humu kuna vichaa kama Sergio 5 kukukatisha tamaa,kukukosoa,kutukana na mengine mengi kwao ndio jadi yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh.!![emoji23][emoji23]Hunisumbui mshamba km ww nimeona mahali unampango wa kuapply certificate ya HR nikacomfirm uwezo wako wa kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulilipa sh ngapJikute unacheka ila ukipigwa Ban ndio utaelewa umuhimu wa ada
Karibu wewe ila wewe ni nyumbu au wale wa magamba?Hodi wanajamiiforum. Mm ni member mpya humu nimependezewa kujiunga kwenye jamii hii ili kupata maarifa na habar mbalimbali kutoka kwa wanajamii. Lakini pia kutoa kile nnachokifaham pale kitakapohitajika . Naomba ushirikiano wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwezi 30000