Ibra Bituro
Member
- Nov 18, 2017
- 9
- 2
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sawa mkuu haina tatizoweka picha yako IBRA..mi jirani yako mtaani
Changamka basi kuiweka..VP umeme umerudi kitaa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sawa mkuu haina tatizo
Karibu JF... Inanoga sana hii mida ya wangaNaombeni mnipokee na nahitaji ushrikiano wenu wa kimawazo..Asanten ndugu zangu
Na wewe ndio kigagula mkuu..unatuimbisha "Tupe tupe manemba eehhh eehh ikalapai..Wa lala..Wa lala" naskia ndio nyimbo zenu mkiwa anga za juu na mafagio!Karibu JF... Inanoga sana hii mida ya wanga
Karibu sana mdogowangu.Naombeni mnipokee na nahitaji ushrikiano wenu wa kimawazo..Asanten ndugu zangu
Alishaondoka Dom yuko Zanzibar tena bila shaka Michenzani..ulisomq nae Nyuki TPDF High school nini? Naona kafotoa mapicha viwanja vya maisara..IBRA bana!Karibu sana mdogowangu.
Lakini umetususa kabisa huku DodomaView attachment 636109
Huyu dogo namfahamu sana mkuu..... maana enzi hizo akiwa darasa la 2, mimi nilikua karibu sana na mama yake mdogo...[emoji13] [emoji13]Alishaondoka Dom yuko Zanzibar tena bila shaka Michenzani..ulisomq nae Nyuki TPDF High school nini? Naona kafotoa mapicha viwanja vya maisara..IBRA bana!
Hahah kwahiyo hapa MNA kikao cha wanafamilia sio..huyu dogo Wa 95.. najaribu kuwaza alipokua darasa la pili wewe ulishaanza ubazazi..af Leo unamkaribisha "mwanao" jukwaani..kwikwiHuyu dogo namfahamu sana mkuu..... maana enzi hizo akiwa darasa la 2, mimi nilikua karibu sana na mama yake mdogo...[emoji13] [emoji13]
FB kazini.Karibu sana mdogowangu.
Lakini umetususa kabisa huku DodomaView attachment 636109
Ndio hivyo mkuu....Hahah kwahiyo hapa MNA kikao cha wanafamilia sio..huyu dogo Wa 95.. najaribu kuwaza alipokua darasa la pili wewe ulishaanza ubazazi..af Leo unamkaribisha "mwanao" jukwaani..kwikwi
Hahah..Mimi niliwahi kumjibu hovyo bi mkubwa bila kujua..karudi home ktk story story baada ya dinner akasema leo kuna MTU kaniudhi blah blah JF..nikauchuna kimyaaa...akautaja na Uzi! dahNdio hivyo mkuu....
Nakumbuka nilikwahi kumuita "mkuu" member flani humu, siku alipokuja kuazima sim yangu atumie ndipo kumbe nikaja kugundua ni mtoto wangu wa kiume
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nashkru sana nimekarbiaKaribu sana mdogowangu.
Lakini umetususa kabisa huku DodomaView attachment 636109