Rafiki wale flat shuzi ukipiga chura zao yale makofi ya mahaba huwa wanaumia!😔😔😔Behaviourist kwanini unapenda matraaaako sana....unataka sisi flat shuzi tukimbilie wapi??
Kwahiyo sisi hatuna siko si ndio??so sad kwakweli..bora niwe na upendo wa dhati tu hakuna namna🤔🤔🤔Rafiki wale flat shuzi ukipiga chura zao yale makofi ya mahaba huwa wanaumia!😔😔😔
Mi nna swali kwako, kwenye hio avatar ni ww?The List njoo na swali kwako
Habari
Mara nyingi watu hujifunza na kupata some exposure kutoka kwa mtu fulani na hasahasa mara nyingi watu huvutiwa na mengi kutoka kwa members wa JF, inaweza ikawa sio character halisi ya mhusika lakini akavutiwa tu na namna anaplay part kwenye platform
Je, ukipewa nafasi ya kumuuliza member yeyote wa jf, ungemchagua member yupi na ungemuuliza swali gani?
NB: Haimaanishi huyo member ni lazima ajibu hilo swali ni uamuzi wake pia ila akiweza anaweza kuja kujibu.
Mimi binafsi ningemchagua Miss Natafuta na ningemuuliza, je ameshampata yule aliyekuwa anamtafuta ?
NdioMi nna swali kwako, kwenye hio avatar ni ww?
Oi mwambaKwani si uko kule kule kwa siku zote?nitakutafuta ukinitajia siku
Kwani huna pakukimbilia bado?Behaviourist kwanini unapenda matraaaako sana....unataka sisi flat shuzi tukimbilie wapi??
cheap wasted sperm[emoji16] skunk idiot
Uyo anatakiwa tuzo kwakweli ana misimamo sana.cheap wasted sperm
Imbecile
[emoji23][emoji23][emoji1]