Members tano bora wa JF wenye Likes na Messages nyingi.

Bora wenye likes nyingi kuliko wenye messages nyingi zisizo na mvuto na hivyo kukosa likes zinazolingana au kupita posts zao. Ila pia ni vizuri kutafakari gharama za muda mwingi tunaotumia hapa JF isijekuwa opportunity cost yake ni kukosa mkate bora mezani.
 
Sasa mbona ni Aibu,,msg zote hizo mitandanoni?? Ngoja nipunguze
 
Kuna thd yao kule inaitwa "Post chochote upate likes" na hayo ndio matunda ya hiyo thd,


"Hongera kwao kwa mafanikio"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…