Members wa hili jukwaa punguzeni 'Uchawi'

Unakuta mtu anabakia kuponda wakati hana hata kitu
 
Umepaniki kisa wamesemwa vibaya AY na MwanaFA? teh teh we jamaa una mahaba niue na hao watu. Diamond daily anapondwa humu ila hukuibuka na post ya kumtetea,ila leo umeibuka na post hii kisa wamekupondea AY wako doh...pole sana!


Mwanafa amepondwa Wapi,na Ay amepondwa kwa lipi humu?

Si nimetoa mifano hump ya kina kiba na nasibu!!
 
Ila wewe Deo si ndio mwana FA,asiyekujua nani lol



Haaahaaa,name calling hairuhusiwi humu!!!!!

Mimi ni Deo mbona hata no yangu kule Jukwaa la matangazo iliyoishia 20 imesajiliwa Deo Haule!!

Mimi mngoni hasa,na Fa ni msambaa huko!!
 
Haaahaaa,name calling hairuhusiwi humu!!!!!

Mimi ni Deo mbona hata no yangu kule Jukwaa la matangazo iliyoishia 20 imesajiliwa Deo Haule!!

Mimi mngoni hasa,na Fa ni msambaa huko!!

Haya mkuu,nilijua utapanick na kunishushua lol.....ila sitanii mie huwa nadhaniaga wewe ni mwana FA...sijui kwa nini...
 
Umepaniki kisa wamesemwa vibaya AY na MwanaFA? teh teh we jamaa una mahaba niue na hao watu. Diamond daily anapondwa humu ila hukuibuka na post ya kumtetea,ila leo umeibuka na post hii kisa wamekupondea AY wako doh...pole sana!

Hamis Corleone Mwinjuma na Deo Corleone
 
Last edited by a moderator:
Haaahaaa,name calling hairuhusiwi humu!!!!!

Mimi ni Deo mbona hata no yangu kule Jukwaa la matangazo iliyoishia 20 imesajiliwa Deo Haule!!

Mimi mngoni hasa,na Fa ni msambaa huko!!

Usajiri wa namba hapa bongo ni usanii mtupu,kuna namba humu iliwekwa ilisajiriwa kama "FREEMASON SHETANI" kuna namba ilishawahi kunipigia kuangalia usajiri imesajiriwa kama "Joseph Haule" nikajua labda ni Profesa Jay anataka kunipa Deal kumbe ni mtu mwingine kabisa na alivyojieleza nikamkumbuka tulipiga nae mishe flani zamani na haitwi jina hilo linaloeleweka mtaani kwao tangia utoto na primary.
 
Humu humu ndani kwa ndani watu hawakawii kuitana kilaza, mbulula, pimbi, kinabo, honongo, au aunatumia masaburi kufikiri au kutajwa kiungo cha siri cha mzazi wa kike ambacho nae kapitia (kama sio oparesheni) Great thinkers hatuwezi kueleweshana pasipo kutukanana? huo pia ni UCHAWI.
 
Hamis Corleone Mwinjuma na Deo Corleone


Unamjua Corleone original!?!


Hivi kuna mtu ababonga kingoni humu ndani kama mimi!!!

Hamis ni mngoni kwani!!!

Kwenye ile thread ya hemed kivuyo,niliambiwa mimi ndo kivuyo!!

JMAll Wewe ndo uliniita Edo kumwembe !?

So mimi ni Fa,kivuyo na Edo kwa wakati mmoja!!

Kuna members kama 20 hivi wananifahamu physical, wengi hawashindi hili Jukwaa.!!
 
Last edited by a moderator:
Sababu unafanana na Hamis Hamis lol

Katika members wale 20 wanaonifahamu nawe umo?

Hata hatufanani hata kwa sura,ila mimi ni shabiki wake tu basi.

Kuna kipindi alijiunga yule mbongo muvie mzuri hivi, anaitwa batuli.

Nilimuuliza swali ( silikumbuki hilo swali)
Naye akaniuliza mimi ni mwanaFa?

Sijajua kwanini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…