Sijaelewa vizuri mnachotaka haswaaaa,mnataka member kwa kazi gani? do you have any sourse of fund?Do you need fund? do you need advice?please let us know us know exactly what do you want. Aksante🙂
Mimi ni mdau na sana wa masula hao mzee na napenda sana kushirikiana na watu ambao kweli wana macho ya maendeleo kwa ajiri ya nchi yao. Nipe address zako mkubwa nikutafute.