Membe’s rudderless campaign

Membe’s rudderless campaign

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
This guy Bernard Membe 🤣.

Why the hell is he even in the race at this point?

Just a total waste of resources.

He is running a rudderless campaign.

He can’t even draw a crowd. He has zero charisma. Lacks depth.

He is grotesquely overrated. I suspect he also overrates himself.

Yet, he is never short of hot air and smoke.

Every time he opens his mouth he just maunders gibberish.

I don’t think he is that dumb to not even realize he doesn’t have a snowball‘s chance in hell of becoming president.

So what could it be that he is still in the race?

Delusions of grandeur, maybe?
 
..ACT WAZALENDOOOO!!

..SHUSHA TANGA. PANDISHA TANGA. MAPAMBANO YANAENDELEA.

" Nii mwaaka, ni mwaka wa mashujaaa.

Wale msiwe na shakaaa.

Benadi Membe kifaaa, ACT kakubalika.

Mishemiishe, mishemishe kila konaaa.

Nchi sasa, nchi inatikisikaa.

Magufuli, Magufuli amekwamaaa

Hawezi, hawezi kusalimika.. " -- Chaurembo
 
"Kachero-kuntu" yupo yupo tu ilimradi kusukuma jahazi la uchaguzi.

Kazi yake ya kimkakati ni kugawa kura za chadema na kuonyesha kwamba Tanzania kuna demokrasia (endapo chadema wangejitoa?)...
Twitter inapotosha sana watu aisee.
 
With all those "weakness" you have highlighted, you still keep starting new threads about Bernard Membe!

Why obsessed?

Got nothing better to do?!
 
Lissu hana wapambe wengi wa mitandaoni. Tena wakati huu wa kampeni, mitandao imejazwa maroboti mengi ya kumdidimiza Tundu Lissu. Haya ni maroboti yaliyoundwa kwa mkakati maalumu.

Ninachokiona ni kwamba, wafuasi wengi wa Lissu wako mitaani.

Hii wala haihitaji sayansi. Angalia tu hadhira iliyopo kwenye mikutano yake. Ni mtu mwenye ushawishi na anayekubalika.

Membe mikutano yake ina watu kumi. Watano kati yao ni makachero wa TISS. Watano waliobaki ni hohehahe wasio na kazi maalumu.

Sijazungumza bado kuhusu matrekta na matela yanayobeba watu kwenda kwenye mikutano ya yule jamaa yenu. Kaamua mpaka kutengeneza fiesta.

Facts zinajizungumza zenyewe. Huu wala sio ushabiki. Ni facts tu.
Ama kuna ‘method to his madness’ au jamaa yuko delusional kinoma!

Maana haiingii kabisa akilini jamaa eti kuendelea kuwa ni mgombea urais.

Alikuwa anaonekana ana ‘nguvu’ alipokuwa CCM tu.

Nje ya CCM mpaka anatia huruma.
 
Membe still running? [emoji1787][emoji1787]
In theory.

Hata Zitto kiongozi mkuu wa chama chake amesema atampigia kura Lissu.

Ni vigumu kwa wengine kumchukulia Membe seriously.

Membe alitaka kukuza jina na kuwachangisha watu wa nje apate kidau.

Hakutaka kuwa rais.

Tatizo "jasusi mbobezi" ka boogie step, karudi na hela airport, watu wakazidaka wakamputa.

Sijui alifikiri bado ana "diplomatic pouch"?

Tangu hapo naona hata mchezo wa kuigiza kutaka urais umekuwa mgumu.

Ila kafanya press conference. Anazuga kwa ushairi mbovu.
 
In theory.

Hata Zitto kiongozi mkuu wa chama chake amesema atampigia kura Lissu.

Ni vigumu kwa wengine kumchukulia Membe seriously.

Membe alitaka kukuza jina na kuwachangisha watu wa nje apate kidau.

Hakutaka kuwa rais.

Tatizo "jasusi mbobezi" ka boogie step, karudi na hela airport, watu wakazidaka wakamputa.

Sijui alifikiri bado ana "diplomatic pouch"?

Tangu hapo naona hata mchezo wa kuigiza kutaka urais umekuwa mgumu.
Hivi kweli Membe aliwahi kuwa jasusi?

I find it hard to believe!
 
Hivi kweli Membe aliwahi kuwa jasusi?

I find it hard to believe!
Diplomatic corps imejaa majasusi. Hili linaeleweka dunia nzima.

Ila "jasusi" kwa standard za Tanzania si sawa na za kimataifa.

Membe kasoma shule inayosifika kusomesha majasusi, Johns Hopkins. Programs zao za International Relations ni source kubwa sana ya majasusi. Kuna mtu kwenye familia yangu alisoma hapo, akawa approached na serikali ya Marekani kufanya kazi za ujasusi, akachomoa.

Kwa hivyo ukiunganisha dots Foreign Service, Johns Hopkins utaona "jasusi" is feasible. Ila kwa standards za kibongo "jasusi" ni glorified kachero tu.

He is more like the late Dr. Mahiga - although Dr. Mahiga outshone him by far- than Willy Gamba.
 
Ccm ni wabaya sana, walimpandikiza Lowasa tukaamini ni mpinzani kumbe yuko kimkakati.
Mwaka huu JOKA la mdimu aka mzee wa kunuka kumbe naye katumwa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom