Memes For Laughs

Ah jamani kukubembeleza kote kule mpaka natuma watu waje kwakko kukwambia kuwa nakuoenda kweli bado uamini kuwa ninataka kuwa na till death do us part life na wewe
😂 nan ulimtuma extro au?
 
Nauza Baiskel ya Mazoez, ipo vizur na helmet yake..
Model:Schwinn
Bei: 350k
Location: Mbez beach
 
🙈 Nilianza kitambo saana, nikaja kuacha, ila si mbaya nikipiga game za maveterani kuweka mwili sawa.
Shikilia ulipo,hope haupo serious.Tucheke tu humu kamanda tusiwe serious,magonjwa is real
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…