makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nimeipokea barua ya RIDANDASI kwa mikono mowili.
Aisee...ebu nipe location nije na jamaa yangu ipigwe show ya kufa mtuHiyo mbilingembilinge ndo na mie naitaka kutoka kwa makamanda wawili
Nina uzoefu, nilipigana vita nyingi, ya mwisho ni KAGERADuh huyu atakuwa mbobezi. Evelyn Salt huyu mkabidhi kadinya uwanachama
Mama kateua mkuu wa mkoa kabla ya uapisho kapigwa chini, nami natiii AMRIPiga chini😂😂😂
Acha bwana...tufanye zamzam basNimeipokea barua ya RIDANDASI kwa mikono mowili.
Unajua kuchangamkia fursaAisee...ebu nipe location nije na jamaa yangu ipigwe show ya kufa mtu
Kijana wangu harembi muandiko kwenye imla 😂Unajua kuchangamkia fursa
Ombi langu tuanze kulitekeleza kwanza. 😂Acha bwana...tufanye zamzam bas
Threesome hii bado sijapiga maana mademu wengi wanaogopa sasa kama wee upo tayari nipe fursa hiyo bwanaUnajua kuchangamkia fursa
Si wanasemaga ladies first?Ombi langu tuanze kulitekeleza kwanza. 😂
Wao, sio mimi😂Si wanasemaga ladies first?
Acha hizoWao, sio mimi😂
Kama aliamza eve kisha ndio akaja adam sawa, let it be😂
Kazi naitaka lakini masharti ya kazi siyawezi, bosi naomba likizo isiyo na malipo.Acha hizo
Haya nendaaaKazi naitaka lakini masharti ya kazi siyawezi, bosi naomba likizo isiyo na malipo.
Ahsante, nashukuru saanaHaya nendaaa
Haya tulale sasaAhsante, nashukuru saana
We lala tu bibie, mie jicho lapepesa bado.Haya tulale sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kamwe hatupendi kuguswa huko😂 Kwa kweli huwa nataman kujua ni kuna siri gani kule.