Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Kimsingi mimi watu kama hao huwa nawachukulia kama wenye upungufu vichwani mwao coz mtu timamu kichwani huwezi kukaa kijiweni unapoteza muda wako kuelezea jinsi gani unam-do your wife........it is disgusting aargh!!!!!!!!!!!
Bahati mbaya iliyoje kundi kubwa sana la wanaume tunatanatabia hii; sijui ni part ya show off ya our libido ama ni ushamba hata sijui!
Bahati mbaya iliyoje kundi kubwa sana la wanaume tunatanatabia hii; sijui ni part ya show off ya our libido ama ni ushamba hata sijui!
afu ni wakuja kuja dizaini sijui wametoka kwenu MJ??? samahani kama utakwazika darling!!!!
hahahahaha!..MBAYA SANA HIYO MPWAGeoff umenikumbusha kulikuwa na friend wake Ex wangu yeye alikuwaga anasimulia kila mdada anayetoka naye - eti kwa huyu najiexpress na katu siwezitoka na mwanamke asiyeniruhusu kujiexpress- sasa ameoa na he used to say (enzi za urafiki na aliyekuja kuwa mkewe) she is more than I can imagine yaani ni kujiexpress kwa kwenda mbele na yeye anaenjoy- siku hizi sijui hata wako wapi!!
AH huyu ni punguani kichwani hakuna kitu. Ameniudhi hata mimi.hahahahaha!..MBAYA SANA HIYO MPWA
kuna jibaba moja lilikuwa linajisifia namna linavyomkunja mkewe
''...YAANI MIMI,AAH!...mke wangu namshughulikia kwelikweli hadi anatoa MBOJI...,namkojolea machoni,usoni,mdomoni,kwenye nywele,puani n.k...,yaani mke wangu bwana mashine yake MAJI TUPU...''
ILIBIDI NIMWAGE BIA YANGU NA KUSEPA KIMYA KIMYA....!
huu ni udhalilishaji (hasa kwa tuliooa,ndo tunaumia sana)
''...YAANI MIMI,AAH!...mke wangu namshughulikia kwelikweli hadi anatoa MBOJI...,namkojolea machoni,usoni,mdomoni,kwenye nywele,puani n.k...,yaani mke wangu bwana mashine yake MAJI TUPU...''
hahahahaha!..MBAYA SANA HIYO MPWA
kuna jibaba moja lilikuwa linajisifia namna linavyomkunja mkewe
''...YAANI MIMI,AAH!...mke wangu namshughulikia kwelikweli hadi anatoa MBOJI...,namkojolea machoni,usoni,mdomoni,kwenye nywele,puani n.k...,yaani mke wangu bwana mashine yake MAJI TUPU...''
ILIBIDI NIMWAGE BIA YANGU NA KUSEPA KIMYA KIMYA....!
huu ni udhalilishaji (hasa kwa tuliooa,ndo tunaumia sana)
unajua mijitu mingine bana........Kwani G huezi mwambia kuwa unachoongea hakifai au atakuona unaingilia uhuru wake wa kusema??? au unampa the bad arse look on your face anakusoma hapo hapo ananyamaza.
unafanya la maana sana Nyamayao wamezidi kutuvua nguo bwana mtu unatembea umevaa kumbe uko uchina ndio gia inawasaidiaga pia kuwapata hao mahawara....tabia mbaya sana hiyo, mie nawakataga nishai kweli hapa ofcn unakuta mtu anamueezea galfrnd wake in/out...nawakimbizaga na stori za kijinga.
AH huyu ni punguani kichwani hakuna kitu. Ameniudhi hata mimi.
Kuna alosema kuwa hata wanawake wanatabia ya kusema ya chumbani mwao .. hebu wenye ushahidi tupeni maana nisibishe kwa kuwa tu sijawahiona au sikia. Mwanamke mwenye staha kweli ukae unasimulia unavyokunjwa au unavyompaisha mfalme wako sirini???
hehehehe!Kuna jamaa mmoja alimpataga bibi yake (mpenziwe) hospital yaani jamaa alikuwa ni sijui dr ule sijui medical attendant hata sijui but mdada huyo alikuwa mgonjwa kendapima akakutwa na VDRL sasa katika matibabu jamaa akaingiza gia ikakubaliwa basi alivyokuwa wa ajabu mkaka yule anasimuliaga walivyokutana yaani anaweka wazi kuwa alikuwa na gono bana but ah amepona kabisa- yaani group lake lote wanajua mdada alikuwaga na gono! Ah huwa anabore.