MEN!...LET'S BE SERIOUS JAMANI!this is not right,nor it is okay

hehehehehe!
hommie hommie
WII MWAAFU SANA VEVE
 


Hahahahahahaaaaaaa LEL!! kweli nimecheka mpaka basi. :becky:
 

Huyu ni wa kufundisha adabu kabisa amezidi
 
JS mydia duniani kuna viumbe yaani mie nilichoka kabisa yaani ah kweli mtu akiamua kukudhalilisha atakudhalilisha haswa
 
hehehehe!
this is even WORSE......
dah!
GONOREA...!hahahahahahahah
ngoja nikacheke vizuri nje bana
hahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
G usicheke bana nikikutanaga na huyu mdada huwa nasikiaga aibu kwa niaba yake yaani ah.... sijui kama huwa anajua kama mwenzake alikwisha mwanikaga siku nyingi. Mbaya zaidi walishahalalisha kabisa ndoa so hana jinsi na sijui siku akijua lol!!

Au mwingine alikuwa na GF wake akabeba mimba ambayo hawakuwa wameipanga wakakubaliana kuitoa saa ngapi mkaka asianze kutangaza walipoachana kuwa dem kaua mwanae........ eti sasa hivi ningekuwa na mtoto mwenzenu !!! huwa namtimuaga maana yeye ndie alikuwa chanzo cha kuitoa alidai hayuko tayari kucommit muda huo na hakuwa tayari kulea!!
 
Hii ni Tabia mbaya ambayo mie huwa naishangaa sana ..Ni kwa nini mke uliyempenda na kuamua kushare nae maisha till death unamwanika nje bila hata aibu.
Ila sidhani kama mwanaume mwenye kuelewa na mwenye upendo hawezi kuongea huu upuuzi
Ni kero
Ukisoma vizuri post za watu wengine utaona kwamba wanazungumzia habari za mahawara na sio wake. Hata hvyo cio kwamba naunga mkono la hash it is BULL SHIT!!!!!!!! Yaani nachukia vbaya sana sweet.
 
God forbid! huh.......................!:drum:
G,ungemjibu mbona nilimsikia mshkaji akimlalamikia kuwa mkeo hamna kitu? Lakini hapo inabidi uwe ushamaliza bia yako (manake umesema huachi bia bar eeh!) na usawa wa mlango unuona! Lolz!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…