Men lie the Most, Women tell the Biggest Lies....

VoiceOfReason

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,194
Reaction score
1,365
A mans lie is, "I was at Kevins House...", A woman lie is like, "its your Baby".... CHRIS ROCK

MY TAKE
Although the guys is a comedian and he was Joking...., Lakini je kuna uongo mkubwa zaidi ya kumbambikizia mtu kiumbe????....
 
Si wote...hii ni tabia tu wa wachache...na kama ujuavyo tabia si km ngozi ya mwili hivyo inabadilika! Kati ya watoto nane huwezi kukosa halali wawili
 
Si wote...hii ni tabia tu wa wachache...na kama ujuavyo tabia si km ngozi ya mwili hivyo inabadilika! Kati ya watoto nane huwezi kukosa halali wawili
ofcourse sio wote hapa ni statistics..... mfano tukisema pikipiki ndio inaua sana sio kwamba kila ukipanda pikipiki unakufa au ukipanda gari hautakufa... No. alafu kumbuka that is a qoute nimechukua, na hapa swali ni kwenye mahusiano je kuna uongo zaidi ya huo ambao Chris Rock amesema?
 
Kuambiwa tu nakupenda na moyoni nimekupa V.I.P class ilihali ni third class(economy class) ni uongo sawa na kupakaziwa mtoto...
 

Upo, kwa mfano 'huyu ni dada yangu' kumbe ni mpenzi, kimada, hawara au mke wa pili. Au fikiria mtu anayedanganya alikuwa anaangalia match kumbe alikuwa anafanya ngono na mwananke mwingine.

I think men lie big and most; or mostly big lies.
 
Mhhh na wanaume wanaotembea nje mpaka anazaa na mtoto je???
Anaepita kwa nyumba ndogo anafanya mambo yake alafu akirudi anasema alikua anafanya kazi overtime???Kachoka kazi nyingi kumbe hakuhitaji???Anakupenda wakati anajau fika anakutumia tu???Ntakuoa alafu siku ya siku huyooooo kapotea na kutambulishwa tayari??Anaedanganya mkewe amekufa kupata mdada kumbe si kweli??:suspicious:Hii nimeshuhudia!!!Na mengine mengi tu.....kama vitu vingine vingi hamna mshindi....pande zote zinaweza kudanganya sana na kwa uongo usiopimika!!!
Ni hulka na sio jinsia!!!
 
Duh! Lizzy naona umekusanya makosa yote hujaacha hata moja? OFF TOPIC: hope your ok,missing you besti.
 
Kuambiwa tu nakupenda na moyoni nimekupa V.I.P class ilihali ni third class(economy class) ni uongo sawa na kupakaziwa mtoto...

Upo, kwa mfano 'huyu ni dada yangu' kumbe ni mpenzi, kimada, hawara au mke wa pili. Au fikiria mtu anayedanganya alikuwa anaangalia match kumbe alikuwa anafanya ngono na mwananke mwingine.

Ntakuoa alafu siku ya siku huyooooo kapotea na kutambulishwa tayari??Anaedanganya mkewe amekufa kupata mdada kumbe si kweli??:!

Nadhani hapa swali ni Je kuna uongo zaidi ya kumsingizia mtu mimba au mtoto ni wake.... now wanaume wanaweza wakawa na uwezo wa kudanganya zaidi kuliko wanawake au ni mashetani kuliko wanawake lakini the fact remains hata kama wanao uwezo huo lakini hawawezi wakazaa, kwahiyo wanadanganya according to their limits ambazo ni infidelity....., now the question remains from the quotation is infidelity a bigger lie than kumsingizia mtu mtoto.

After all huyo mtoto alipatikana vipi kama sio through infidelity???
 
Hakuna uongo mdogo na mkubwa, vyote hivyo vinauma tuu!! Tunashare Mwanaume bila ridhaa yangu wala matarajio yangu kinauma sana. Nakudanga mtoto ni wako kumbe sio kinauma sana vile vile.
 
Duh! Lizzy naona umekusanya makosa yote hujaacha hata moja? OFF TOPIC: hope your ok,missing you besti.

Hehehehe...we lazima ukweli usemwe!!!


Off Topic
The Following User Says Thank You to uporoto01 For This Useful Post:
Lizzy (Today)
Mzima kabisa....you don't have to miss me...we can still talk bwana!!!Au CM kakukataza???:suspicious:
 
Hakuna uongo mdogo na mkubwa, vyote hivyo vinauma tuu!! Tunashare Mwanaume bila ridhaa yangu wala matarajio yangu kinauma sana. Nakudanga mtoto ni wako kumbe sio kinauma sana vile vile.

I beg to differ..... lazima hapa tukumbuke mpaka unidanganye mtoto ni wangu basi ukweli ni kwamba kabla ya hapo uligawa penzi langu nje..., na nyongeza ni kusema kiumbe ni changu wakati sio changu, na nyongeza zaidi ni kwamba kuna baba wa watu masikini hajui kwamba amepata baraka ambayo sababu ya uongo wa mtu amenyimwa.....

N.B Kumbuka hapa am just a devils advocate... ninamtetea Chris Rock.....πŸ™‚
 
hahahah lol
oohh dear kumbe na wewe
unampenda CR..lol

mie kila nikisoma poster zako huwaga nadhai wewe ni wale watu
wako series sana dear..
mambo ya uchesi na vitu kama hivyo hufuatiliagi..

mmhh i think im wrong..
sorry my dear friend..
 

Hakuna uongo unaomzidi mwenzake maana uongo wowote ule unaweza kua na madhara sawa!!!
Achana na swala la kusingiziana mtoto...hayo ni matokeo tu ya infidelity ambayo wote wanaweza kucomit!!!

Madhara ndo yataonyesha ukubwa wa uongo kwa kutofautiana kati ya mtu na mtu!!Ndo maana kuna watu hawawezi kusamehe infidelity kwasababu kwao hicho ndio kikomo....na kuna wengine wanavumilia over and over again!!!

Na je mtu anaemletea UKIMWI mkewe ndani alafu hamwambiii anamchekea tu huku akimwangalia anavyomomonyoka tumueke wapi???
 
hahahah lol
oohh dear kumbe na wewe
unampenda CR..lol

mie kila nikisoma poster zako huwaga nadhai wewe ni wale watu
wako series sana dear..
mambo ya uchesi na vitu kama hivyo hufuatiliagi..

mmhh i think im wrong..
sorry my dear friend..

AD afadhali nimekuona hapa maana nimepita kwako kule naona kimya!!!


Kwa mimi ninavyohisi...Bibie Judy afaa kuitwa miss
Jinale hajabadili...bado aweza kuitwa mwali
Ikiwa hajaolewa ....na nyumbani hajatolewa
Usianze kumdiss ...kwa yeye kukunyima kiss!

Ujumbe wako huoo nimeacha kule nyumbani kwa LUGHA!!!:A S shade:
 
hahahah lol
oohh dear kumbe na wewe
unampenda CR..lol

mie kila nikisoma poster zako huwaga nadhai wewe ni wale watu
wako series sana dear..
mambo ya uchesi na vitu kama hivyo hufuatiliagi..

mmhh i think im wrong..
sorry my dear friend..

I Love stand up comedies and I have watched all from Chris Rock, Eddie Murphy to a guy called Demetri...., I used to watch movies a lot and I read a lot I mean a lot.... I guess you can call me boring although I think am just reserved.....πŸ™‚, I am a guy you give me a book I can live alone in an island without getting bored.
 

Orait ngoja nijifanye nakubaliana na wewe for a sec.....

Mume katoka nje ya ndoa....mke nae hajachelewa!!
Mume kazaa nje...mkee kazaa nje!!
Mume kagundulika kwa sababu ni rahisi kujua huyo mtoto sio wa mke wake...
Kwasababu mke hawezi kutiliwa wasiwasi hajaulizwa ''huyu ni wangu??'' kwahiyo anaenda na ile sheria ya ''Don't ask....don't tell!!''
Sasa hapo kadanganya nini???HAJASEMA tu....kaficha siri...kitu ambacho hata mume anaweza kufanya kwa upande wake!!
Ngoma droo!!!
 

mmhh siwajua wengi wao wamelala sahizi dear
ndo maana malngo umefugwa na kuko kimya sana dear lol

duuuhh kumbe hata wewe mashahiri unayadondosha hivyo..
mmmhh kweli jana ulini ahidi unakuja kwa vishindo
na nimekuamini dear..

ngoja nirudi nyumbani haraka
nikakundoolee senks zaidi
maana kweli wastahili dear..
 

Orait orat, to me uongo ni ule ule tu, hapo ni upana wa huo uongo ulivyo lakini pia ni kwa sababu kuna hio chance ya mama kumdanganyia baba mtoto, kwamba hata ingekuepo kwa mwanaume ingetokea vile vile. Tofauti ni kwa vile mwanamke anabeba mimba na mwanaume habebi. Tena nadhani wanaume wangekuwa ndo wanabeba kati ya watoto nane mmoja tu ndo angekuwa wa mama house.
 

hahahahah lol
mmhhh ok
haki ya walakhi umenikosesha cha kusema dear..
 

Uongo wote kuwa sawa I dont think so...., first of all uongo wowote ambao mwanaume anaweza kudanganya na mwanamke pia anaweza... that is its practically possible..., lakini wakumsingizia mtoto mwenzake hili ni mwanamke pekee ndio anaweza...., now madhara ya kufanya hivyo ni A kwa mwanaume anayedanganywa, B kwa mwanaume aliyenyimwa haki yake, C kwa mtoto mwenyewe kukosa kumjua the really father...., hilo la kumletea mtu ukimwi ni baya sana lakini practically all men and women can do it...πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…