Men talk: ushawahi kumkana demu face to face?

Mkuu hamna mtu anaweza kuamini hii story, ila Mimi na ndugu yang na demu mwenyewe, nakumbuka siku niliyomchana ukweli nilikuwa nimelewa afu Niko kwenye shughuli ya send off pale diamond jubilee nimeenda nae
ulivyo mchana ikawaje sasa, alikuelewa au ndo ile!
 
ulivyo mchana ikawaje sasa, alikuelewa au ndo ile!
Alienda mahali akakaa ananiangalia tuu, mi nikaendelea kuzuga Mara nnaita demu mwisho akaamini siyo Mimi, siku niliyokuja kumwambia nilikuwa mimi aliumwa tumbo, kichwa kila kitu mda huo huo afu tulikuwa kwenye send off
 
na mliachanaje sasa baada ya wewe kumwambia umerudi kutoka safari.
 
Hataree duuuh bazazi wewe
 
mkuu ww ni kiboko

nikiulizwa kati ya mamba..kiboko na P nani ni kiboko ntasema P ni kiboko
 
Hahaha hakuwa king'ang'anizi anakubalije kuwa amemfananisha mtu anamjua mpaka akiwa amevua nguo anakuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…