Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Nmewaza sana asubuh hii...
Hiv unajua sis wanaume ni watu wabaya sana.
Tuka ya legalize kabisa yan..dah
Uzi imeandikwa baada ya kupishana na Aliyekuwa Miss Tz mwaka flan hapa kwenye mataa ya St peters..aisee wakubwa wanafaid sana daaah..hiv huyu hata jua linamjua kwel huyu...af ni mzur hatar..
Mbona ma miss wa zaman walikua wazur sana.haka zeeki kabisa
Uzi tayar
Hiv unajua sis wanaume ni watu wabaya sana.
Tuka ya legalize kabisa yan..dah
Uzi imeandikwa baada ya kupishana na Aliyekuwa Miss Tz mwaka flan hapa kwenye mataa ya St peters..aisee wakubwa wanafaid sana daaah..hiv huyu hata jua linamjua kwel huyu...af ni mzur hatar..
Mbona ma miss wa zaman walikua wazur sana.haka zeeki kabisa
Uzi tayar