Basi siji tenaNimeligawa....!!😅
Kenge! Mzigo utafika tu. Acha nimsake uliyemgawia.Vyovyote iwavyo, mzigo ufike....
Subira yavuta kherii....
Naketi kitako kusubiri mzigo...😅.
Acha kusikiza maneno ya watuThank you Lizzy, for sure I know he’ll be back.
I’ll spell same words you said here.
Me napita kukusalimu tuu maana umekuwa adimu jukwaani kukubahatisha bahatiAbeeeh....!!
Asante🙏Karibuu