Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 626
- 409
Iv hii ishu nikwel au nistor za town tuMgonjwa kapimwa kwa X-ray ikaonekana ana mende kifuani.Mchango ukapitishwa kauza mali zake zote kaenda india kufika kule X-ray za india zikaonesha hakuna mende kifuani.
KUMBE MENDE ALIKUWA NDANI YA X-RAY MASHINE .
Watakua ni hawa Mende wa siku hiziMende gani mkubwa hivyo??