Meneja/Afisa utumishi!!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
wakuu naomba mnisaidie majukumu ya hawa watu wawili juu ya wafanyakazi na mwenye kampuni/firm fulani.

Nimeileta hii maada kwa kuwa kila kunapotokea kuna mgomo kampuni fulani utakuta/kusikia chanzo ni hawa watu wawili.

Je hii ni kwa sababu wafanyakazi hawajui majukumu husika ya hawa watu au ni kwakuwa hawa watu hawajui wanatakiwa kuwatendea nini wafanyakazi zaidi ya kuwaadhibu na kuwapa onyo kwa ajili ya kutetea chakula/posho yao.
 
huu mziki mzito hata mm inanigonga sana kichwa hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…