johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Meneja wa Tehama pale Clouds Media, Stanley William amechukua fomu za kugombea Udiwani kata ya makongo kupitia chama cha CHADEMA
Naye mtangazaji Tupatupa amechukua fomu za kugombea udiwani kata ya Mbezi juu kwa tiketi ya CCM.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Naye mtangazaji Tupatupa amechukua fomu za kugombea udiwani kata ya Mbezi juu kwa tiketi ya CCM.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!